chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,758
- 2,529
Kuna siku nilienda kwa rafiki yangu kumtembelea ,ile mtoto wake kuniona tu akaanza kunizomea "huyooo umekuja kwetu kudoea" nikiangalia kweli nilikuwa na njaa na msosi ndio unaandaliwa
Mama ake anacheka cheka nakusema yaani huyu G anapenda kweli kuwaambia wageni, nikabaki mtu mzima nimezodoka kuondoka nataka lakini nashindwa ila nilikula ivo ivo
Hawa wamama wa siku izi hamna kitu na hawajui malezi kabisa
Mama ake anacheka cheka nakusema yaani huyu G anapenda kweli kuwaambia wageni, nikabaki mtu mzima nimezodoka kuondoka nataka lakini nashindwa ila nilikula ivo ivo
Hawa wamama wa siku izi hamna kitu na hawajui malezi kabisa