Hili jeshi ndo mlikuwa mnategemea lichukue nchi??

Hili jeshi ndo mlikuwa mnategemea lichukue nchi??

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,194
Reaction score
3,960
Leo ndo nimeamini hakuna jeshi bali ni kikundi cha wanasiasa

Jeshi gan uchwara kama hili?

Wanapongezana kwa mauaji kwa kupandishana vyeo

Gen Z, taifa halitokombolewa kwa kuwategemea JW bali ni wananchi pekee wanaweza kufanya hivyo
 
20251121_202630.jpg
 
Wanatuhadaa kwa kupasua matofali wakati wa sherehe zao kumbe hamna kitu!
 
Alafu mibunduki ya hao JWTZ nasikia haikuwekwa Risasi yoyote huyo mkuu wao ndo aliwauza
 
Mwanzoni mliaminishwa hivyo ikaja kuwa tofauti Bado hamshituki Bado mnaendelea kuwa bendera fuata upepo....hakuna haki inadaiwa Kwa uvunjifu wa Amani,hivi wasomi wote,wazee,viongozi wa dini na wengineo mmeshindwa kutafuta njia mbadala ya kurekebisha Hayo mapungufu yaliopo Kwa kukaa meza Moja na serikali Kwa Amani na utulivu?
 
Back
Top Bottom