Hili jambo limeniumiza sana

Inaumiza sana kila Mara naishia kulia tu
 
doh! pole sana asee
tulia fanya uchunguzi simple tu ujue shida ni nini mpka atamke vile labda alkua too emotional au kuna kitu kingine
all in all pole sana unaweza sameh pia maisha yakaendelea japo ni ngumu
Ata akitulizwa alikuwa akiendelea kutoa maneno Yale makali naona alikuwa ameadhimia
 
Ushauri mzuri kweli nadhani ataufanyia kazi ipasavyo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Dada yangu ila nachokuomba jaliribu kutafuta muda mzuri umkalishe mama umuulize niwapi ulimkosea iliumuombe msamaha na wewe pia urudishe moyo umpende mama kwasababu ndo ndugu yako pekee wakaribu ulienae ndo mzazi wako pekee aliebaki miezi tisa uko tumboni mwake ,kifuachake ndo ulipata chakula chako ujui mangapi alipitia kukikisha unakua salama muda wote ilijinyima aliumia kwa ajili yako simaanishi humpendi la hasha ila namaanisha umsamehe mama nakutakia malidhiano mema na mama.....amina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siri kubwa sana hapo. Mungu sio Athuman au John. Mama kamkufuru Mungu. Ngumu lakini msamehe, ikibidi akuleze chuki yake kwako chanzo nini?
Nashindwa hata kumuangalia usoni ila itabidi nakae chini nimuulize kitendo cha yeye kufikia kuniombea Mimi kufa.
 
Ahsante sana kwa ushauri nitajitahidi kufanya hivyo
 
Hakumpenda kutokana na kabila pia alitaka niwe na mahusiano na kijana wa rafiki yake jambo ambalo sikulihafiki.
 
Inauma sana
 
Hata hasingetamka kwa kinywa angetamka moyoni, believe me wazazi wengi hutamka hivyo moyoni.
Kikubwa ni wewe kujitazama na kujirekebisha kasoro zinazokuweka mbali na mama yako. Mama yako kutokupenda kulianza ulipokuwa mkubwa ulikuwa ukifanya machukizo machoni pake,hukumpa kipaumbele Kama mama, angekuwa hakupendi tangu mwanzo angeku- destroy tangu mimba yako ilipotungwa au tangu ulipoigusa dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doooh huyu mama yako ni kiboko aisee, chakufanya wewe msamehe tuu hakuna namna.
 
Ahsante sana ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…