MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,693
- 21,765
Hili geto kuna mida fulani kama ungefanikiwa kuingia ndani na kuiba, basi ungekuwa bilionea.
liko wapi hili ghetto, kunani?Hili geto kuna mida fulani kama ungefanikiwa kuingia ndani na kuiba, basi ungekuwa bilionea.
View attachment 1890143
Kulikuwa na dhahabu tani kadhaa humo.Uzi wa Toka mwaka Jana watu hawakuulizia nn kilikuwemo... Mleta Uzi tuambie humo getho kilikuwa na nini..?