Masakata
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 374
- 137
Yani kuna magazeti mengine yanaudhi kweli,hata mtu unashindwa elewa kama hayo magazt yana wahariri,na kama ni watz wenzetu,kwa mf hili gazeti la jambo leo toleo la leo,front page wameandika WENGI WAUNGA MKONO TAMKO LA CC-CCM JUU YA DOWANS,.yani hii khabar imeniharibia cku yangu ya leo,kwanza wamewahoji watu wangapi,wa itikadi ipi,na elimu gani mpaka waje na conclusion nzito kama hii.. source:gazeti lenyewe nimelisoma,huwa cnunui ya aina hii!