Hili Gazeti kwanini lisiitwe Yanga Sports? Si kwa mahaba Haya

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,360
11,514
Miaka ya nyuma tunanua Yusuph Manji alikuwa anawanunua sana waandishi wa habari waandike kuhusiana na yeye na Yanga. Na moja ya magazeti ambayo yalitumika sana ni MWANASPOTI.

Gazeti hili limeendelea sana kuandika habari za kishabiki,zisizo na weledi kwa kuangalia sana jinsi ambavyo wataipendeza Yanga kuliko uhalisia. Hebu jioneeni wenyewe taarifa za namna hii ktk gazeti. Ni bora tungejua tu kuwa ni gezeti la yanga basi.

IMG-20200803-WA0012.jpg
 
Uwezi ukafanya kipindi cha michezo kwenye TV,redio, gazeti au social media ukawa mbali na Yanga. Yanga ndio DNA ya mpira wa Tanzania yanga ilianzishwa 1935 ndio klabu pekee Tanzania iliyo anzishwa mwaka uo ambayo bado mbaka sasa inajishughulisha na soka.

Asilimia 70 ya wapenda soka Tanzania ni mashabiki wa yanga, uiandike/uisemee kwa mabaya au mazuri lakini bado utapata wafuatiliaji wengi wanao taka kujua unacho ongea au andika.

Sasa msiwalaumu waandishi wakati wao wanajua Yanga inauza habari. Ata msemaji wa mbumbumbu fc hawezi kusema bila kuitaja Yanga. Yanga ni kama pumzi. Simba ivi karibun wamechukua ubingwa lakini habari ya mjiini ni Yanga wanafanya nini.
 
Utaandika Manyani FC walivyoshangilia bao la kufutia machozi la Namungo.😂😂😂😂😂😂😂😂

mbona habari zina mvuto kabisa mkuu angalia habari za nyau fc utaandika nini? kama fainal ya jana ilikuwa ya kibwege tu hakuna cha maana utaandika nini?
 
Muulize mwandishi yeyote wa habari za michezo Tanzania. Atakwambia Yanga ndiyo inauza habari.

Yanga ndiyo klabu yenye matukio mengi positive au negative yanayoandikwa na kuripotiwa Tanzania.

Sports arena ya wasafi leo kaangalie comments Youtube uone jinsi watu walivyowaponda kwa kutozungumzia Yanga na kuzungumzia Simba. Nenda ukascroll live comments za sports arena leo ndiyo ujue watanzania hawajali sana habari za Simba au Azam.
It's all about bussiness ...
 
Muulize mwandishi yeyote wa habari za michezo Tanzania. Atakwambia Yanga ndiyo inauza habari.
Yanga ndiyo klabu yenye matukio mengi positive au negative yanayoandikwa na kuripotiwa Tanzania.
Sports arena ya wasafi leo kaangalie comments Youtube uone jinsi watu walivyowaponda kwa kutozungumzia Yanga na kuzungumzia Simba. Nenda ukascroll live comments za sports arena leo ndiyo ujue watanzania hawajali sana habari za Simba au Azam.
It's all about bussiness ...
Mmeshindwa mpira mnakimbilia kuuza habari nenda uwanja wa Mkapa uliza wenye baa wanavyopata faida siku Simba ikicheza
 
Miaka ya nyuma tunanua Yusuph Manji alikuwa anawanunua sana waandishi wa habari waandike kuhusiana na yeye na Yanga. Na moja ya magazeti ambayo yalitumika sana ni MWANASPOTI.

Gazeti hili limeendelea sana kuandika habari za kishabiki,zisizo na weledi kwa kuangalia sana jinsi ambavyo wataipendeza Yanga kuliko uhalisia. Hebu jioneeni wenyewe taarifa za namna hii ktk gazeti. Ni bora tungejua tu kuwa ni gezeti la yanga basi.View attachment 1525764
Tupitishe kampeni tusinunue magazeti yao
 
Chichi ni swahiba wangu mkubwa, tena Yanga damu. Wanywaji wengi baa ile ni yanga, tatizo nyinyi watu wa mkoa huwa mnajifanya wajuaji mkifika mjini.
Sorry.
We manyani fc umetoroka msituni unabaki kushangaa huyo Chichi nimesoma naye primary wewe ndio inaelekea umetoka siyo tu mkoani bali msituni kamwulize primary amesoma wapi kama sio Chang'ombe kazi kubweka
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hili jambo huwezi lielewa. Kama ni mshabiki wa yanga utaishia tu ku prove alichosema Luc Eymael kuwa mashabiki wa Yanga ni manyani na mbwa pia hawaelimika.


Mnalalamikia hadi gazeti tena la mtu binafsi....... 😂 😂
Simba si walikua na gazeti lao sasa kwanini wasiandike huko wanachotaka kuandika.
 
Uwezi ukafanya kipindi cha michezo kwenye TV,redio, gazeti au social media ukawa mbali na Yanga. Yanga ndio DNA ya mpira wa Tanzania yanga ilianzishwa 1935 ndio klabu pekee Tanzania iliyo anzishwa mwaka uo ambayo bado mbaka sasa inajishughulisha na soka.
Asilimia 70 ya wapenda soka Tanzania ni mashabiki wa yanga, uiandike/uisemee kwa mabaya au mazuri lakini bado utapata wafuatiliaji wengi wanao taka kujua unacho ongea au andika.
Sasa msiwalaumu waandishi wakati wao wanajua Yanga inauza habari. Ata msemaji wa mbumbumbu fc hawezi kusema bila kuitaja Yanga. Yanga ni kama pumzi. Simba ivi karibun wamechukua ubingwa lakini habari ya mjiini ni Yanga wanafanya nini.
usirudie kuandika pumba tena
 
Muulize mwandishi yeyote wa habari za michezo Tanzania. Atakwambia Yanga ndiyo inauza habari.
Yanga ndiyo klabu yenye matukio mengi positive au negative yanayoandikwa na kuripotiwa Tanzania.
Sports arena ya wasafi leo kaangalie comments Youtube uone jinsi watu walivyowaponda kwa kutozungumzia Yanga na kuzungumzia Simba. Nenda ukascroll live comments za sports arena leo ndiyo ujue watanzania hawajali sana habari za Simba au Azam.
It's all about bussiness ...
familia yako inatabu kweli
 
Back
Top Bottom