Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Ndugu yangu ana gari aina ya BMW 7 series ambalo huwa analitumia kama chaguo lake la pili, chaguo lake la kwanza ni Mercedes Benz G Guard.
Juzi kati Noah yangu ilipata hitilafu hivyo nikawa naswampa na madaladala.
Ndugu yangu huyu kwa kunihurumia akasema niwe natumia BMW yake.
Aisee hii gari ina engine ya zaidi ya CC 2000 lakini ulaji wake wa mafuta ni mdogo kama wa Vitz yaani km 17 kwa litre.
Hili gari nimetokea kulipenda sana na sasa nadhani ni wakati muafaka kwa Watanzania kuachana na magari ya Kijapani yanayokula mafuta mengi bila sababu na kujiunga na magari ya Ulaya na India yasiyotumia mafuta mengi.
Juzi kati Noah yangu ilipata hitilafu hivyo nikawa naswampa na madaladala.
Ndugu yangu huyu kwa kunihurumia akasema niwe natumia BMW yake.
Aisee hii gari ina engine ya zaidi ya CC 2000 lakini ulaji wake wa mafuta ni mdogo kama wa Vitz yaani km 17 kwa litre.
Hili gari nimetokea kulipenda sana na sasa nadhani ni wakati muafaka kwa Watanzania kuachana na magari ya Kijapani yanayokula mafuta mengi bila sababu na kujiunga na magari ya Ulaya na India yasiyotumia mafuta mengi.