johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,224
- 142,383
Naunga Mkono Kauli ya Rais Samia kwamba Wakosoaji wafanyiwe vetting na kuingizwa Serikalini wakasaidie Ujenzi wa taifa
Huu utaratibu ndio ulitumiwa na Shujaa Magufuli akisaidiwa na komredi Polepole kuwachukua Wakosoaji kutoka Upinzani na Kuwapa teuzi Serikalini
Mfano Prof Kitila, Mama Mghwira rip, Joshua Nassari, Mwita Waitara, ProtasnKatambi, Gekui, Dr Mollel, Dr Slaa, Julius Mtatiro, Halima James Mdee na wenzake nk....nk
Nawatakia Sabato njema!
Huu utaratibu ndio ulitumiwa na Shujaa Magufuli akisaidiwa na komredi Polepole kuwachukua Wakosoaji kutoka Upinzani na Kuwapa teuzi Serikalini
Mfano Prof Kitila, Mama Mghwira rip, Joshua Nassari, Mwita Waitara, ProtasnKatambi, Gekui, Dr Mollel, Dr Slaa, Julius Mtatiro, Halima James Mdee na wenzake nk....nk
Nawatakia Sabato njema!