muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,115
- 4,802
Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa ABC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliambiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu muda ule ule nikajaza fomu nikaondoka mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata muda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu.
View attachment 2744997
Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliambiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu muda ule ule nikajaza fomu nikaondoka mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata muda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!
Hii sio haki serikali iko wapi jamani?
Nifanyeje naombeni ushauri wenu.
View attachment 2744997