Size ya kalio lako likoje ... Isijekua kubwa afu laini Lina nyama akishika utazani kashika mdoli wenye manyoya hahahah na unajua wadada wengi na midoli..... Joking hahhahaMi ni me bhana!! Iweje anishike kalio??
Halafu kuwa makini. Ke wengine wanatabia Kama za baadhi ya mahousegel kuharibu watoto wa Bosi zao. Kuwa makini usikute anaandalia mabwana zake masaburi yakoMi ni me bhana!! Iweje anishike kalio??
Kwanini uwe huna? ukiwa nae ufaanye mishe ujae kila ukimhitaji Mbona wao hata and wakiwa hawana mood ya kutoa kitu ukitaka anakupa
Huyo gogo ni mkeo?Hua ananipa tu kwa maana anajua natoa kifuta jasho
Ila yale maujanja pale kati ni zero team gogo
Huyo gogo ni mkeo?
Ni sawa tu kumbe ... Kuwafanya wenzio michepukoHapana mkuu!...mchepuko no.1 na mchepuko no.4 huwa wana tabia hiyo
Ni sawa tu kumbe ... Kuwafanya wenzio michepuko
Pole Mkuu mie ndo mkali wa hii kitu hadi kwenye real life.Daah mkuu asee hiyo avatar yako na ID nikiviangalia nakmbk shuruba za chuo flan hapa mujini.....
YANI MI NAOGOPA MWANAUME MCHEPUKAJI KA BOMU LA NYUKLIA...KILA MWANAUME ANACHEPUKA NA MIUKIMWI YOTE HII KILA KONA.!! BORA NBAKI PK ANGU..sio sawa ila mchepuko is just a shoulder to cry on
mimi sichepuki mama, tubaki pamojaYANI MI NAOGOPA MWANAUME MCHEPUKAJI KA BOMU LA NYUKLIA...KILA MWANAUME ANACHEPUKA NA MIUKIMWI YOTE HII KILA KONA.!! BORA NBAKI PK ANGU..
hahhaahaa! HAYA BABAmimi sichepuki mama, tubaki pamoja
Wekabila gani eti?Mkuu sio ubanizi....jicho lake ni kama anataka kubeba pochi yote na bado ni mimi nliyewajibika zaidi yake..
Uwe unamuweka matambara mdomoni akianza kelele zakeHuwa nakeleka sana na milio ya wizi. Mtu analia utazani kafiwa na mamayake. Mara viingereza vya ugokoni. Yaani wizi mtupu