Hiki ndicho mwanaume anapenda

Hiki ndicho mwanaume anapenda

MAKRESH MMAKA

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
155
Reaction score
19
Yafuatayo ni mambo wanaume anapenda kutendewa na m2 wake.
1.mwanamke asiombe pesa.
2.mwanamke alale nae kila anapomhitaji
3.mwanamke asianga sms za mwanaume wake
4.mwanamke asifatilie nyendo za mume
5.akipigiwa cm na mwanamke asiulize ni nani kapiga
6.mwanamke asigombane na mumewe
7.mwanamke kiukweli mumewe
8.mwanamke asiwe na wivu.sasa wanawake kipi kigumu apo timizeni haya basi tuishi kwa amani majumbani
 
Yafuatayo ni mambo wanaume anapenda kutendewa na m2 wake.
1.mwanamke asiombe pesa.
2.mwanamke alale nae kila anapomhitaji
3.mwanamke asianga sms za mwanaume wake
4.mwanamke asifatilie nyendo za mume
5.akipigiwa cm na mwanamke asiulize ni nani kapiga
6.mwanamke asigombane na mumewe
7.mwanamke kiukweli mumewe
8.mwanamke asiwe na wivu.sasa wanawake kipi kigumu apo timizeni haya basi tuishi kwa amani majumbani
Ngoja niweke sawa hapa kidigo. mtoa mada Namba 7 haieleweki ifanyie editing! kuhusu namba nane nina mashaka, wivu tunaruhusu lakini uwe na kiasi, kwa sababu wivu wa kupindikia ni kero.. haya wadada semeni lipi gumu hapo...
 
Yafuatayo ni mambo wanaume anapenda kutendewa na m2 wake.
1.mwanamke asiombe pesa.
2.mwanamke alale nae kila anapomhitaji
3.mwanamke asianga sms za mwanaume wake
4.mwanamke asifatilie nyendo za mume
5.akipigiwa cm na mwanamke asiulize ni nani kapiga
6.mwanamke asigombane na mumewe
7.mwanamke kiukweli mumewe
8.mwanamke asiwe na wivu.sasa wanawake kipi kigumu apo timizeni haya basi tuishi kwa amani majumbani
Mkuu kwenye kila point uliyoieleza ina sababu ya kwanini inatokea kinyume cha ulivyoandika, itawezekana tu kuwa hivyo endapo kuna mambo mwanaume atayafanya. mfano number 1 inakuwa ngumu mwanamke kukaa kimya wakati muhiska hutui hela na huku unajua hana chanzo cha mapato nani ampe hela mwanamke matunzo
no 3. Uaminifu ukianza kupungua au sababu zingine ndio mtu anaanza u CIA japokuwa kunawengine wanatumwa na hisia zaidi kuliko uhalisia. Nk wengine watachangia pia
Chamuhimu ili yafanyike hayo kila mtu anatakiwa atimize wajibu wake kwa wakati
 
Hiyo no. 2 kwani sie maroboti kiasi kwamba kila mida tunashughulika tu??
Hiyo no 8 mmeambiwa tuna roho za chuma??
 
Mkuu asiombe pesa wakati muhusika hutoi, nani atamtunza sasa maana mwanamke matunzo

Baadhi ya wanawake siku hizi hawataki kumtegemea mwanaume kwa kila jambo!

Mimi naamini kwenye kushea zaidi.....swala la kuwatunza hilo halikwepeki hasa ukikuta mwanamke hasietaka hata kujishughulisha "goalkeeper"
 
Namba tano inanihusu. yaani nikitoka kazini cm ikiita kila cm nitakayopokea iwe ya ofisini au mtu yeyote lazima niulizwe nani huyo, anataka nini. Jamani nakwazika mimi
 
No 2

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Yaani, hiyo numba 2 ni kweli kabisa halafu wanasahau kama psychologically brain zetu lazima ziwe tuned kufanya tendo...wao wakikurupuka tu wanataka.
 
Hiyo no 5 co kwamba kila cku m2 anataka naomba 2elewane hakuna mwanaume anafanya mapenzi ila kwa wenye mapepo ya ngono.na no 1 kuna madem wanawafanya mabwana zao atm so ucombe utapewa kwani c ndio jukumu la mume.mumezid kuomba
 
Nasubiri opposite version...maana ni nyie tu mridhishwe
 
namba 2 hapo ndio nyumba ndogo wanapochukua credit,,,mnabaki mnalalamika
 
Yafuatayo ni mambo wanaume anapenda kutendewa na m2 wake.
1.mwanamke asiombe pesa.
2.mwanamke alale nae kila anapomhitaji
3.mwanamke asianga sms za mwanaume wake
4.mwanamke asifatilie nyendo za mume
5.akipigiwa cm na mwanamke asiulize ni nani kapiga
6.mwanamke asigombane na mumewe
7.mwanamke kiukweli mumewe
8.mwanamke asiwe na wivu.sasa wanawake kipi kigumu apo timizeni haya basi tuishi kwa amani majumbani

Hayo yote uliyoyaandika hapo juu yamebebwa na "tamaa ya mwili" na "wivu"...!
 
Nimeona, ila kwenye kutoombwa pesa nina wasiwasi, kama mwanaume anajua wajibu wake katu mwanamke hawezi kuomba pesa. Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom