Hiki ndicho kilichomponza Ngalamgosi wa EWURA kutumbuliwa

Jun 5, 2017
95
123
Aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya udhibiti wa huduma za maji na Nishati (EWURA), Felix Ngalamgosi amekuwa ofisa wa umma anashikilia rekodi ya ajira yake kusimamishwa usiku zaidi.

Wachambuzi wa masuala ya kiuchumi na siasa wamezungumzia utenguzi huo katika mitazamo tofauti ambapo wengi wao wanazungumzia kusimamishwa kazi kwa mkurugenzi huyo huenda kwa kiasi kikubwa kumesababishwa na wasaidizi wake au utendaji wake usioridhisha.

Huku wachambuzi wengine wakiweka bayana kuwa kikichopelekea utenguzi wa bosi huyo kutokana na yeye kutoa tangazo la IPTL la maombi ya leseni ya kuzalisha umeme kwa kipindi cha miezi 55.
 
Nikikumbuka IPTL ndio kampuni ya kwanza
kusababisha unit ya umeme kupanda kwa kiasi kikubwa
nikisikia mtu anataka kuiongezea mkataba nahisi kichefuchefu,
ukichanganya na issue ya escrow,naona huyu Bwana
hakusoma alama za nyakati ni heri apumzike.
 
Mange Kimambi kumbe info zake sio reliable kabisa. Anaongea uongo mpaka anatishia followers wake kuwa wakienda against her atawablock. Sasa yeye hiyo demockrasia iko wapi anavyotaka binge live ina maana gani, anavyosema Magufuli hasikilizi mtu wanatofauti gani. Yaani ni bora Raisi wangu Magufuli aendelee tu nimejua wanaompinga ni wale waliozoea kula hela za rushwa bila kujali wananchi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom