La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,040
- 1,136
Dai kashasema,alianza kudate na Hamisa hata kabla ya Wema,upoo?Sasa bi dada huoni kama mwanamke anayejisifia kutembea na bwana wa mtu ni mtazamo hasi, maana mwisho wa siku anachotaka ni attention na labda bwana mkubwa ahamishie majeshi kwake, at the same time mwanamke anayejielewa anafahamu ugomvi kama huo ni mambo ya kifamilia ya kuyasolve na anamuua kuendelea na yake kwa sababu first of all ni Miss independent anaweza kujimudu kwa namna yoyote hata kama anaumia lakini anaumia kwenye Bentley sasa wewe ukiumizwa usikute unaishia kuumia kwenye chumba cha kupanga na kutujazia comments kwa tecno yako
Mbona unakimbilia conclusion si bado jamaa anaongea pay attention lolDai kashasema,alianza kudate na Hamisa hata kabla ya Wema,upoo?
HAHAHA DAI HAWEZ KUMUACHA HUYU MGANDA KWA AJILI YA HUYUBentley ni gari ya pesa ndefu sana
Na akili ya yule mtoto wa tandale ninavyoona kuna idadi ya watoto amepanga kufikisha atakaye jipendekeza mtoto anamuhusu!Ni ukweli, ukiwa tegemezi kwa mwanaume mkiachana unaweza kufa kwa machungu, ila ukiwa independent mkiachana leo asubuhi unaendelea na mambo yako, ndio maana huwa sitaki hata mia ya mwanaume labda anipe kwa raha zake ili ukinichosha dakika hio nikunawe
Namuonea huruma hamisa, marafiki zake kina dillish,Jackiegarade etc wanamiliki biashara, wanafanya vitu vinaeleweka, hamisa ulitakiwa uwe unaown projects zako ila hio akili huna,na mama yako nae inaonekana mnasubiria hela ya kudanga mama nae anapenda mambo makubwa..
Kwanini unakubali kuzaa na domo, kama mtoto wa kiume tayari anaye yani hakuna jipya ulilolifanya, unamkomoa zari kwani alikukosea nini? Mimi ningekuwa wewe ni kumchuna tu mondi lakini kuzaa nae big no, kumbuka atakuja mwingine kumzalia domo, unajiongezea watoto wenye baba tofauti, Hamisa ni mzuri ila bahati mbaya kichwani Mungu alikunyima akili...hivyo unatumia akili za chini kuwaza about your future
I pity you.....
Ni kweli hajui ndom huyu duhNa akili ya yule mtoto wa tandale ninavyoona kuna idadi ya watoto amepanga kufikisha atakaye jipendekeza mtoto anamuhusu!
Vipi umepata conclusion sasa!?Dai kashasema,alianza kudate na Hamisa hata kabla ya Wema,upoo?
Hamisa anajivunia kumiliki Dyudyu hizi ni Akili za Celeb wetu wanatuangusha
What a brilliant post mwanajamvi!!!Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee
Zari amemsnich baba wa 3 wake na wanaume kibao tu kabla hata ya Diamond....halafu hamna kitu kinachoumiza kama mwanamke awe na pesa halafu atendwe ....atajikagua mwili mzima aone kasoro gani imepelekea kusnichiwa hehehe
HeheheheheZari amemsnich baba wa 3 wake na wanaume kibao tu kabla hata ya Diamond.
Diamond kafunika kombe tu mwisho hapo.
Yule ni katika wanawake Iron hilo swala la Diamond kukanyaga hilo kwasu kwasu sidhani km litamsumbua, haya ndugu yetu wa tandale lile jumba alilosema kanunua kule South aanze kusahau.
Hili nalo neno...Uganda kitu gani buanaa, tunataka kitu pure from tandika!Mlitaka asizae na mtanzania
Vipo kul YouTube mbona huleti mrejesho siku izi mkuu?
Sorry kwa kutoka nje ya mada
Mkuu hyo kitu adimu mkuu ukitaka mpya inatoka kwa order kiwandani mojakwamojaIna bei ya hatari aisee...nimeona moja used mtandao hiyo bei yake ikabidi nifunge page
Aaaah angesema sasa so kutuumiza roho tu watu hatuna hata baskel za kuazima.Pete kwa kidole