Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,246
Yani haya maisha mkuu huitaj kuish kwa kushindana na mtu.. Wenzetu wako wanashindana ndo maana tukinao ana kazi ya kuonyesha magar na saa, mara pete sasa kabmdogo kamemkomesha ameufyata! Hawa wanaume tunaokutana nao ukubwan cyo wa kuwatambia wenzako ukimpata tulia nae usjshaue shaue! Mbele za watu Nyakunyaku mjin ni wengi wamejipodoa kusubr mabae zetu.wewehamisa na mange wote akili zenu sawa....akili na mtazamo wenu ni za msingi papuchi...siku ukipigwa superglue kweye hyo papuchi inayokuweka mjini you will be as good as dead...katija maisha yenu yote ya hapa duniani na hata motoni baada ya kufa hamtafikia even nusu ya ustaarabu and elegance ya zarinah khassan..