Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

.wewehamisa na mange wote akili zenu sawa....akili na mtazamo wenu ni za msingi papuchi...siku ukipigwa superglue kweye hyo papuchi inayokuweka mjini you will be as good as dead...katija maisha yenu yote ya hapa duniani na hata motoni baada ya kufa hamtafikia even nusu ya ustaarabu and elegance ya zarinah khassan..
Yani haya maisha mkuu huitaj kuish kwa kushindana na mtu.. Wenzetu wako wanashindana ndo maana tukinao ana kazi ya kuonyesha magar na saa, mara pete sasa kabmdogo kamemkomesha ameufyata! Hawa wanaume tunaokutana nao ukubwan cyo wa kuwatambia wenzako ukimpata tulia nae usjshaue shaue! Mbele za watu Nyakunyaku mjin ni wengi wamejipodoa kusubr mabae zetu
 
Wewe utakuwa mchawi au mganga wa kienyeji kila mtu anaugulia maumivu kivyake binadamu hatufanani kimatendo na kinafsi.
Kusema kweli hata uishi kwenye nyumba iiyojengwa kwa Almasi. Kinachomatter ni yule muhusika uwe naye tena tu sio physically bali kiupendo.
 
Yani haya maisha mkuu huitaj kuish kwa kushindana na mtu.. Wenzetu wako wanashindana ndo maana tukinao ana kazi ya kuonyesha magar na saa, mara pete sasa kabmdogo kamemkomesha ameufyata! Hawa wanaume tunaokutana nao ukubwan cyo wa kuwatambia wenzako ukimpata tulia nae usjshaue shaue! Mbele za watu Nyakunyaku mjin ni wengi wamejipodoa kusubr mabae zetu
Wewe binti mbona unaogopa kuibiwa?
 
Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee
Duh mboni pove?!!, imekuumiza hyo B eeeh?
 
Mwanamke akimchua bwana wa mwenzie ndio anaona ni ushindi mkubwa Duniani.

Wanawake akili zao moja
Zari alimwibia Wema
Sasa naye kaibiwa


Na matusi juu yeye Wema mgumba anaongea na waliongia leba haya mwenye kuingia leba mwenzake nae kaja . waache warushiane maneno ya leba....
 
Huyo zari angekua levels asingekuja kutafuta umaarufu Bongo tena kwa mond ,Asingeshare na huyo Hamisa anaemuita Cheap ass.....
Maboss lady hawawi hivo,atulie tu hamisa amvue nguo hadharani,na inavoonekana hamisa anaingia madale muda wowote hana kizuizi maana kuna video ana mimba kubwa kabisa ya miezi kama 8 au9....

atulie hamisa atushushie mahiroshima:p:p:p:p ili wanaume wengine waone mfano wasikatae watoto zao
 
Ni ukweli, ukiwa tegemezi kwa mwanaume mkiachana unaweza kufa kwa machungu, ila ukiwa independent mkiachana leo asubuhi unaendelea na mambo yako, ndio maana huwa sitaki hata mia ya mwanaume labda anipe kwa raha zake ili ukinichosha dakika hio nikunawe

Namuonea huruma hamisa, marafiki zake kina dillish,Jackiegarade etc wanamiliki biashara, wanafanya vitu vinaeleweka, hamisa ulitakiwa uwe unaown projects zako ila hio akili huna,na mama yako nae inaonekana mnasubiria hela ya kudanga mama nae anapenda mambo makubwa..

Kwanini unakubali kuzaa na domo, kama mtoto wa kiume tayari anaye yani hakuna jipya ulilolifanya, unamkomoa zari kwani alikukosea nini? Mimi ningekuwa wewe ni kumchuna tu mondi lakini kuzaa nae big no, kumbuka atakuja mwingine kumzalia domo, unajiongezea watoto wenye baba tofauti, Hamisa ni mzuri ila bahati mbaya kichwani Mungu alikunyima akili...hivyo unatumia akili za chini kuwaza about your future
I pity you.....
Aliesemaga mwanamke mzuri akikosa akili kiumiacho zaidi ni sehemu za siri hakukosea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom