Hiki Nacho Kitendawili! Nikitegueje?

Ndugu Michael ni mwoga, tena ni mwanaume mwenye kuendekeza umbea, na zaidi ya yote ni mbahili na anapenda vya bure.

Freema Agyeman Haya maneno mbona makali sana tena kila nikiyakiria yanajirudia rudia kwenye ubongo wangu!
Au ni wewe muhusika au unajua inshu nzima ilivyo?
 
wachagga hoa kashapima kauwezo kako hivyo kaona hapo anaweza kuchuma akaenda kumalizia kibanda chake kwa wazazi wake. Hiyo ndo moshi mkuu.
 
wachagga hao kashapima kauwezo kako hivyo kaona hapo anaweza kuchuma akaenda kumalizia kibanda chake kwa wazazi wake. Hiyo ndo moshi mkuu.
 
Niko mikoa ya kanda ya kaskazini kikazi, nimekutana na dada mmoja ,mumewe ni mtu wa makamo, lakini dada kidogo anaonekana bado damu inamchemka, wana duka kubwa la vyakula hapa mjini.
Kwa ajili ya kufuata mahitaji dukani kwake mara kwa mara tukafahamiana tukawa dada na kaka.

Kuna siku akapatwa na shida akaniomba nimsaidie kama 350,000 atanirudishia bahada ya miezi miwili, sio mbaya nikampa.
Bado miezi miwili haijakamilika sasa, akanipa stori iliyoniacha mdomo wazi! kuwa mumewe ana matatizo,yaliyosababisha jogoo wake ashindwe kuwika.

Nilisikitika sana kisha nikampa pole! Akanambia pole haitoshi naomba msaada wako!
Nikamuuliza msaada gani anaohuitaji! Akanambia kuwa mimi ni mtu mzima nadhani nishamuelewa anachoniomba!

Sasa nimfanyaje huyu mdada nikisha mbang anaweza tena kunilipa pesa zangu?, au ananiuzia penzi kwa 350,000/= napata karibia mifuko 18 ya cement?

N:B Niliulizia washkaji wakadai kweli jamaa hamna kitu, ila mama anajiheshimu, Wakashangaa mie kupata zali eti labda ugeni wangu umesaidia? Mdada nae mkalii kitu ya Karatu.

we sifia tu,siku hizi ukila mke wa mtu nawe unaliwa.
 
Niko mikoa ya kanda ya kaskazini kikazi, nimekutana na dada mmoja ,mumewe ni mtu wa makamo, lakini dada kidogo anaonekana bado damu inamchemka, wana duka kubwa la vyakula hapa mjini.
Kwa ajili ya kufuata mahitaji dukani kwake mara kwa mara tukafahamiana tukawa dada na kaka.

Kuna siku akapatwa na shida akaniomba nimsaidie kama 350,000 atanirudishia bahada ya miezi miwili, sio mbaya nikampa.
Bado miezi miwili haijakamilika sasa, akanipa stori iliyoniacha mdomo wazi! kuwa mumewe ana matatizo,yaliyosababisha jogoo wake ashindwe kuwika.

Nilisikitika sana kisha nikampa pole! Akanambia pole haitoshi naomba msaada wako!
Nikamuuliza msaada gani anaohuitaji! Akanambia kuwa mimi ni mtu mzima nadhani nishamuelewa anachoniomba!

Sasa nimfanyaje huyu mdada nikisha mbang anaweza tena kunilipa pesa zangu?, au ananiuzia penzi kwa 350,000/= napata karibia mifuko 18 ya cement?

N:B Niliulizia washkaji wakadai kweli jamaa hamna kitu, ila mama anajiheshimu, Wakashangaa mie kupata zali eti labda ugeni wangu umesaidia? Mdada nae mkalii kitu ya Karatu.
Kama katokea Pande hizo huyo ndio katabia kake hako..
 
kubalianeni rate pamoja na payment schedule, say 50 thou per fling per week; then mna-deduct accordingly mpaka mkopo uishe... just be pragmatic under the prevailing circumstances
 
Back
Top Bottom