theCriticalOne
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 206
- 285
Ile ni Redio binafsi. Haipati bajeti yake kutoka Magogoni. Matangazo ndio Kipato chao. Kama hupendi chagua nyingine. Sisi tunaendelea nayo
Hahahah hawana maana watakosa mda wa kufanya matangazoHawanaga kipindi cha kutoa kero uwaambie?
No issue hapo ni kwamba wanapigaga story za nje ya kipindi katka kipindi,..Hii hoja sidhani kama inahusiana kwa namna yoyote na matangazo yanayosemwa na mleta mada, umekuwa rude kwa mtu sijui kwa sababu gani.
kweli tuna tofautiana sana mimi redio huwa nasikiliza vipindi vya magazeti asubuhi baada ya hapo nazima redio nasubiria saa saba nasikiliza taarifa ya habari ya ujerumani basi, nakuja kusikiliza tena vipindi vya michezo jioni nimemaliza
Mkuu toka umejiunga 2012 una msg 3 tu? ongeza speed mkuu.Matangazo ya kwenye kipindi cha njia panda yanakela sana
kweli tuna tofautiana sana mimi redio huwa nasikiliza vipindi vya magazeti asubuhi baada ya hapo nazima redio nasubiria saa saba nasikiliza taarifa ya habari ya ujerumani basi, nakuja kusikiliza tena vipindi vya michezo jioni nimemaliza
Umeniibia ratiba yangu mkuu.
kwahiyo hamumjui hata darassa ...Mkuu ulikuja nyumbani kwangu kuchukua latiba yangu nn
Habari Mkuu
Mimi ni msikilizaji mzuri wa radio lalini:-
Hiki kitendo cha clouds Fm kufanya matangazo karibia dk 20 hadi 25 ki ukweli kinaboa, yaani unasikiliza redio dk 20, unasikia matangazo tu, sidhani kama kuna msikilizaji anapenda kusikia matangazo mda mrefu ivi, hatukatazi matangazo ila matangazo ya mda mrefu yanapoteza Mvuto kabisa, naomba clouds mmbadilishe ratiba zenu, muwe creative, hiyo system yenu ya matangazo inatuboa sana
Leo ndo nimeingia rasimi...sikuwa interested sana zamani wakati najiunga.. tupo pamojaMkuu toka umejiunga 2012 una msg 3 tu? ongeza speed mkuu.
Hata mimi nimekuja kuwa interested sana mwaka huu mwishoni nilikuwa kama wewe, sasahivi nashinda humu na kulala humu.Leo ndo nimeingia rasimi...sikuwa interested sana zamani wakati najiunga.. tupo pamoja
We acha tuUnashangaa Clouds Fm, Jaribu kusikiliza Radio free Africa kipindi chao cha magazeti, kipindi dk30, matangazo dk 20 kipindi chenyewe dk10 tena huwa wanaanza na matangazo dk10 baada tu ya BBC kuisha then kawimbo cha utambulisho wakipindi, matangazo dk5, magazeti yanasomwa dk6 matangazo dk5, wanaendela kwa dk 2 haraka haraka. Kimeisha kipindi.
Kifupi ni kwamba hawajali mlaji anakula nini wanataka pesa tu. Uchambuzi wao ni ovyo kabisa.
commerco wapi wanavuta mda tu wamalize kipindi wasepe in short hawana content za maana wanazoandaathats why we call it Commercial Radio
mmh chuki binafsiHuyo babra wao angekua mzuri sijui ingekuaje maana hapo tu kama kiboko lakini wanalisifia kila dk