boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,104
- 1,385
Habari Mkuu
Mimi ni msikilizaji mzuri wa radio lalini:-
Hiki kitendo cha clouds Fm kufanya matangazo karibia dk 20 hadi 25 ki ukweli kinaboa, yaani unasikiliza redio dk 20, unasikia matangazo tu, sidhani kama kuna msikilizaji anapenda kusikia matangazo mda mrefu ivi, hatukatazi matangazo ila matangazo ya mda mrefu yanapoteza Mvuto kabisa, naomba clouds mmbadilishe ratiba zenu, muwe creative, hiyo system yenu ya matangazo inatuboa sana
Mimi ni msikilizaji mzuri wa radio lalini:-
Hiki kitendo cha clouds Fm kufanya matangazo karibia dk 20 hadi 25 ki ukweli kinaboa, yaani unasikiliza redio dk 20, unasikia matangazo tu, sidhani kama kuna msikilizaji anapenda kusikia matangazo mda mrefu ivi, hatukatazi matangazo ila matangazo ya mda mrefu yanapoteza Mvuto kabisa, naomba clouds mmbadilishe ratiba zenu, muwe creative, hiyo system yenu ya matangazo inatuboa sana