Inawezekana kabisa huyo Josh aligundua kwamba huyo dada hawezi kumfaa kuwa mkewe. Isipokuwa alikuwa na huruma kwa kuwa wametoka mbali hivyo kuamua kulipa fadhila kwa kumsaidia kielimu....!!!
Afikirie upya, mara nyingi ukiona mlango mmoja umefingwa, kuna mingine 1000 iko wazi kwa ajili yako. Na mtoto ambaye hajawahi kuonja chakula cha mwanamke mwingine, huamini kwamba mama yake ndiye mpishi bora zaidi ya wote duniani.
Mwambie akubali matokeo, aangalie maisha yake bila Josh na pengine kuna mwaname bora zaidi hata ya huyo Josh yupo kwa ajili yake anamsubiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.