Hiki kikosi cha CHADEMA kivunjwe!

Hukumsikiliza rais wa watz lowassa alivyowakataza vijana wa red brigade pamoja na wafuasi wa chadema kuwa watulivu?au ulitamani vurugu zitokee ili unufaike na tabia yako ya ujambazi na uporaji?
Daaaa kweli mkuu umekumbuka maana huyu jamaa ni jambazi sana
 
Ndio maana nimesema hiki kikundi kivunjwe tu kwa sababu hakina faida yoyote.

Kuna umuhimu gani wa kuwa na jeshi lakini vita ikiwadia unaliambia lisiende kupambana! Bora kulivunja ili ieleweke huna jeshi.
Kafie mbele wewe kenge wachana na mambo ya cdm ebu wahi ukajiandae kwenda kona bar maana leo ni jumamosi
 
Umetimiza haki yako ya kibinadamu kwa sababu kucheka ni haki yako mama isiyohamishika au kuchukuliwa na mtu yoyote au taasisi yoyote!
1457761543759.jpg
 
Sababu hoja yako umefikiria kutumia Masaburi tumia akili uone utakavyojibiwa.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh
 
Tehe tehe tehe nimecheka sana! Umetoa mfano wa choo, nimekumbuka yale madongo ya Dr. Slaa alipowaambia CHADEMA wasiwanyooshe vidole CCM...hao CCM watazungumziwa kwa wakati wao CHADEMA wajiangalie kwanza wao.

Unapoamua kupakua kinyesi kutoka chooni na kukihamishia kwenye chumba cha kulala kipi kitakuwa choo? Chumba cha kulala...na hutaweza tena kulala kwenye chumba hicho kwa sababu wakati unapakua kinyesi na kukihamisha ulikuwa unakoroga tehe tehe tehe!
vipi Ile sukari ya bakwata umewagawia wenzako?
 
Leo unajibu hoja kama mpumbavu na matusi juu ukitukanwa uanze kusema ooh mod ninaonewa.

Nimekutukana wapi??Tatizo menu mkijibiwa kama mnavyojibu inakuwa wakati kama pili pili. Nimechoma sindano kwenu Uti wa mgongo??Pole
 
Ndiyo sababu mkaamua kuunda lile kundi la mazombie ili CUF warudishe kisasi???Safari hii kama alitaka kutajirika kwa damu ya watanzania nenda urudi kwa Mganga ukachukue pesa zako.
Kuna umuhimu gani wa kuwa na kikundi maalum kwa mapambano halafu mapambano yakijitokea hakipambani.

Hiki kikundi hakina umuhimu wowote na kinafaa kivunjwe.
 
Green guard wameshindikana kutumia mpaka sisiem itumie police na wanajeshi!!? Ama hilo hukuliona!?
Kazi waliyotumwa kuifanya Green Guard wameifanya kwa mafanikio!

Wamepata Madiwani wengi, Wabunge wengi na pia nafasi ya Rais wa Tanzania.

Kikundi cha CHADEMA hakina manufaa yoyote kwa sababu hakijasaidia lolote katika Uchaguzi Mkuu 2015.
 
Kazi waliyotumwa kuifanya Green Guard wameifanya kwa mafanikio!

Wamepata Madiwani wengi, Wabunge wengi na pia nafasi ya Rais wa Tanzania.

Kikundi cha CHADEMA hakina manufaa yoyote kwa sababu hakijasaidia lolote katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Acha kuwasingizia, mapolisi ndo wamehakikisha ccm inaingia madarakan, kama wenyewe ndo greenguard asant kwa kunifungua macho
 
Tuliambiwa kupitia kikosi hiki kuwa CCM hawawezi kuchomoa katika Uchaguzi Mkuu 2015!

Tukasisitizwa sana kupitia kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe kuwa dawa ya CCM ya kuiba kura imepatikana na kama CHADEMA haitaingia Ikulu basi
Tuliambiwa kupitia kikosi hiki kuwa CCM hawawezi kuchomoa katika Uchaguzi Mkuu 2015!

Tukasisitizwa sana kupitia kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe kuwa dawa ya CCM ya kuiba kura imepatikana na kama CHADEMA haitaingia Ikulu basi atajiudhuru!

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akaingia gharama ya kuzunguka nchi nzima kutoa mafunzo, kukiimarisha na kutoa vyeti na viapo kwa wahitimu wa mafunzo.

Tukawaona vijana wengine waliohitimu mafunzo wakiwa wamevaa welding goggles kama vile wamehitimu kazi ya kuchomelea vyuma huku wengine wakiwa wamevaa Knee Pads kama wanakwenda kwenye jungle warfare.

Uchaguzi Mkuu ukafanyika, matokeo yakatoka ambapo CHADEMA ilipata wabunge 35 kwenye majimbo 162 ya uchaguzi. Nafasi ya Urais wa Tanzania ikaota mbawa.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akaitisha press conference, akalalamika kuwa ameibiwa kura zake wakati hiki kikundi kilipewa kazi ya kuzilinda kura zake.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akatangaza kuwa yeye ni mshindi wa kura za Urais lakini hiki kikundi hakikujitokeza kumsaidia kwenda kuidai Ikulu kama alivyoahidi Juma Duni Haji, Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania pamoja na kwamba kimefudhu mafunzo ya kutumia nguvu badala ya akili.

CHADEMA imegharamia muda na rasilimali pesa nyingi kwenye hiki kikundi lakini hakijaleta faida yoyote.

Waliokianzisha hawakufahamu kuwa kura kwa sasa katika karne ya 21 zinalindwa kwa njia ya Information technology na sio nguvu za mwili(kufahamu karate).

Hiki kikundi kinatumia outdated mentality katika karne ya 21. Hakifai!

Huu ni wakati wa kukivunja kwa sababu hakina manufaa yoyote katika ukuaji wa CHADEMA.

Asiyesikia la mkuu...!

DSC_0037.JPG

Baadhi ya vijana wa Red Brigade wa CHADEMA wakiwa wanakula kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe baada ya kuhitimu mafunzo yao ya ulinzi na karate.
mbowe_Red%2BBrigade.jpg

Lwakatare.jpg

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) ambapo Vijana hao walikula kiapo cha utumishi mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
Alie kutuma mwambie Chadema si inamilikiwa Na mtu Ka Ccm

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akaingia gharama ya kuzunguka nchi nzima kutoa mafunzo, kukiimarisha na kutoa vyeti na viapo kwa wahitimu wa mafunzo.

Tukawaona vijana wengine waliohitimu mafunzo wakiwa wamevaa welding goggles kama vile wamehitimu kazi ya kuchomelea vyuma huku wengine wakiwa wamevaa Knee Pads kama wanakwenda kwenye jungle warfare.

Uchaguzi Mkuu ukafanyika, matokeo yakatoka ambapo CHADEMA ilipata wabunge 35 kwenye majimbo 162 ya uchaguzi. Nafasi ya Urais wa Tanzania ikaota mbawa.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akaitisha press conference, akalalamika kuwa ameibiwa kura zake wakati hiki kikundi kilipewa kazi ya kuzilinda kura zake.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akatangaza kuwa yeye ni mshindi wa kura za Urais lakini hiki kikundi hakikujitokeza kumsaidia kwenda kuidai Ikulu kama alivyoahidi Juma Duni Haji, Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania pamoja na kwamba kimefudhu mafunzo ya kutumia nguvu badala ya akili.

CHADEMA imegharamia muda na rasilimali pesa nyingi kwenye hiki kikundi lakini hakijaleta faida yoyote.

Waliokianzisha hawakufahamu kuwa kura kwa sasa katika karne ya 21 zinalindwa kwa njia ya Information technology na sio nguvu za mwili(kufahamu karate).

Hiki kikundi kinatumia outdated mentality katika karne ya 21. Hakifai!

Huu ni wakati wa kukivunja kwa sababu hakina manufaa yoyote katika ukuaji wa CHADEMA.

Asiyesikia la mkuu...!

DSC_0037.JPG

Baadhi ya vijana wa Red Brigade wa CHADEMA wakiwa wanakula kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe baada ya kuhitimu mafunzo yao ya ulinzi na karate.
mbowe_Red%2BBrigade.jpg

Lwakatare.jpg

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) ambapo Vijana hao walikula kiapo cha utumishi mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
 
No
Tuliambiwa kupitia kikosi hiki kuwa CCM hawawezi kuchomoa katika Uchaguzi Mkuu 2015!

Tukasisitizwa sana kupitia kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe kuwa dawa ya CCM ya kuiba kura imepatikana na kama CHADEMA haitaingia Ikulu basi atajiudhuru!

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akaingia gharama ya kuzunguka nchi nzima kutoa mafunzo, kukiimarisha na kutoa vyeti na viapo kwa wahitimu wa mafunzo.

Tukawaona vijana wengine waliohitimu mafunzo wakiwa wamevaa welding goggles kama vile wamehitimu kazi ya kuchomelea vyuma huku wengine wakiwa wamevaa Knee Pads kama wanakwenda kwenye jungle warfare.

Uchaguzi Mkuu ukafanyika, matokeo yakatoka ambapo CHADEMA ilipata wabunge 35 kwenye majimbo 162 ya uchaguzi. Nafasi ya Urais wa Tanzania ikaota mbawa.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akaitisha press conference, akalalamika kuwa ameibiwa kura zake wakati hiki kikundi kilipewa kazi ya kuzilinda kura zake.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akatangaza kuwa yeye ni mshindi wa kura za Urais lakini hiki kikundi hakikujitokeza kumsaidia kwenda kuidai Ikulu kama alivyoahidi Juma Duni Haji, Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania pamoja na kwamba kimefudhu mafunzo ya kutumia nguvu badala ya akili.

CHADEMA imegharamia muda na rasilimali pesa nyingi kwenye hiki kikundi lakini hakijaleta faida yoyote.

Waliokianzisha hawakufahamu kuwa kura kwa sasa katika karne ya 21 zinalindwa kwa njia ya Information technology na sio nguvu za mwili(kufahamu karate).

Hiki kikundi kinatumia outdated mentality katika karne ya 21. Hakifai!

Huu ni wakati wa kukivunja kwa sababu hakina manufaa yoyote katika ukuaji wa CHADEMA.

Asiyesikia la mkuu...!

DSC_0037.JPG

Baadhi ya vijana wa Red Brigade wa CHADEMA wakiwa wanakula kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe baada ya kuhitimu mafunzo yao ya ulinzi na karate.
mbowe_Red%2BBrigade.jpg

Lwakatare.jpg

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) ambapo Vijana hao walikula kiapo cha utumishi mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
Se
Tuliambiwa kupitia kikosi hiki kuwa CCM hawawezi kuchomoa katika Uchaguzi Mkuu 2015!

Tukasisitizwa sana kupitia kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe kuwa dawa ya CCM ya kuiba kura imepatikana na kama CHADEMA haitaingia Ikulu basi atajiudhuru!

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akaingia gharama ya kuzunguka nchi nzima kutoa mafunzo, kukiimarisha na kutoa vyeti na viapo kwa wahitimu wa mafunzo.

Tukawaona vijana wengine waliohitimu mafunzo wakiwa wamevaa welding goggles kama vile wamehitimu kazi ya kuchomelea vyuma huku wengine wakiwa wamevaa Knee Pads kama wanakwenda kwenye jungle warfare.

Uchaguzi Mkuu ukafanyika, matokeo yakatoka ambapo CHADEMA ilipata wabunge 35 kwenye majimbo 162 ya uchaguzi. Nafasi ya Urais wa Tanzania ikaota mbawa.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akaitisha press conference, akalalamika kuwa ameibiwa kura zake wakati hiki kikundi kilipewa kazi ya kuzilinda kura zake.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akatangaza kuwa yeye ni mshindi wa kura za Urais lakini hiki kikundi hakikujitokeza kumsaidia kwenda kuidai Ikulu kama alivyoahidi Juma Duni Haji, Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania pamoja na kwamba kimefudhu mafunzo ya kutumia nguvu badala ya akili.

CHADEMA imegharamia muda na rasilimali pesa nyingi kwenye hiki kikundi lakini hakijaleta faida yoyote.

Waliokianzisha hawakufahamu kuwa kura kwa sasa katika karne ya 21 zinalindwa kwa njia ya Information technology na sio nguvu za mwili(kufahamu karate).

Hiki kikundi kinatumia outdated mentality katika karne ya 21. Hakifai!

Huu ni wakati wa kukivunja kwa sababu hakina manufaa yoyote katika ukuaji wa CHADEMA.

Asiyesikia la mkuu...!

DSC_0037.JPG

Baadhi ya vijana wa Red Brigade wa CHADEMA wakiwa wanakula kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe baada ya kuhitimu mafunzo yao ya ulinzi na karate.
mbowe_Red%2BBrigade.jpg

Lwakatare.jpg

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) ambapo Vijana hao walikula kiapo cha utumishi mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
Mtoa hoja kwanza pole sana, pili nikupongeze kwa kukiri kuwa ccm waliiba kura! To make the story short naishia hapa!

Nosense
 
Back
Top Bottom