Ndio maana nimesema hakuna faida yoyote ya kuwa na kikosi ambacho huwezi kukitumia pindi vita inapotokea.Hivi akili zako huwa unazipima kuona kama ziko sawa? Baada ya uchaguzi chadema walitoa tamko la watu kuwa watulivu? Au kufanya fujo? Au unatafuta wachangiaji na wewe uonekane upo Jf? Acha chuki za kishoga wewe! Utatiwa
kavunje kwanza ndoa yako.
swissme
Kumjibu mtoa hoja ni matumizi mabaya ya muda.....nadhani tungeweza tu kusoma na kumwachia mada yake ya aliyoelekezwa kuiandika....
Mtoa hoja kwanza pole sana, pili nikupongeze kwa kukiri kuwa ccm waliiba kura! To make the story short naishia hapa!
Mkuu, hapo ndipo inapodhihiri kuwa hakuna kura iliyoibiwa bali walishindwa kihalali kabisa. Basi tu wanashindwa kusema ukweliNdio maana nimesema hakuna faida yoyote ya kuwa na kikosi ambacho huwezi kukitumia pindi vita inapotokea.
Kikosi kiliundwa ili kupambana na wizi wa kura lakini hakikufanya kazi yake.
Kikosi kiliundwa ili kuilinda CHADEMA lakini hakikuilinda wakati na baada ya uchaguzi.
Kinachoshangaza unadai hoja imeandikwa kwa kutumia masaburi lakini umeganda kwenye hoja hiyo.Sababu hoja yako umefikiria kutumia Masaburi tumia akili uone utakavyojibiwa.
Hata wewe unaweza tu kuizungumzia hiyo green guard! Feel free kwa sababu hili ni jukwaa huru!VIP green guard mbona hauizungumzii . Naona leo ni half day so buku Saba umeshachukua mapemaaa. Lumumba at work
Wewe utasaini kwenye nini?leo jumamosi kumbeee.....hamna kusaini kwenye daftar
Kwani ulichokifanya kwa sasa ni nini?Kumjibu mtoa hoja ni matumizi mabaya ya muda.....nadhani tungeweza tu kusoma na kumwachia mada yake ya aliyoelekezwa kuiandika....
Tuliambiwa kupitia kikosi hiki kuwa CCM hawawezi kuchomoa katika Uchaguzi Mkuu 2015!
Tukasisitizwa sana kupitia kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe kuwa dawa ya CCM ya kuiba kura imepatikana na kama CHADEMA haitaingia Ikulu basi atajiudhuru!
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akaingia gharama ya kuzunguka nchi nzima kutoa mafunzo, kukiimarisha na kutoa vyeti na viapo kwa wahitimu wa mafunzo.
Tukawaona vijana wengine waliohitimu mafunzo wakiwa wamevaa welding goggles kama vile wamehitimu kazi ya kuchomelea vyuma huku wengine wakiwa wamevaa Knee Pads kama wanakwenda kwenye jungle warfare.
Uchaguzi Mkuu ukafanyika, matokeo yakatoka ambapo CHADEMA ilipata wabunge 35 kwenye majimbo 162 ya uchaguzi. Nafasi ya Urais wa Tanzania ikaota mbawa.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akaitisha press conference, akalalamika kuwa ameibiwa kura zake wakati hiki kikundi kilipewa kazi ya kuzilinda kura zake.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akatangaza kuwa yeye ni mshindi wa kura za Urais lakini hiki kikundi hakikujitokeza kumsaidia kwenda kuidai Ikulu kama alivyoahidi Juma Duni Haji, Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania pamoja na kwamba kimefudhu mafunzo ya kutumia nguvu badala ya akili.
CHADEMA imegharamia muda na rasilimali pesa nyingi kwenye hiki kikundi lakini hakijaleta faida yoyote.
Waliokianzisha hawakufahamu kuwa kura kwa sasa katika karne ya 21 zinalindwa kwa njia ya Information technology na sio nguvu za mwili(kufahamu karate).
Hiki kikundi kinatumia outdated mentality katika karne ya 21. Hakifai!
Huu ni wakati wa kukivunja kwa sababu hakina manufaa yoyote katika ukuaji wa CHADEMA.
Asiyesikia la mkuu...!
Baadhi ya vijana wa Red Brigade wa CHADEMA wakiwa wanakula kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe baada ya kuhitimu mafunzo yao ya ulinzi na karate.
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) ambapo Vijana hao walikula kiapo cha utumishi mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
Aliyedai ameibiwa kura ni Lowassa!Mtoa hoja kwanza pole sana, pili nikupongeze kwa kukiri kuwa ccm waliiba kura! To make the story short naishia hapa!
Lowasa amedai ameibiwa kura wewe unaonaje? Kama hajaibiwa hukuwa na haja ya kuleta post yako hapaAliyedai ameibiwa kura ni Lowassa!
Hii ina maana kuwa kikosi cha ulinzi wa kura hakikufanya kazi zake.
Hiki kikosi kinafaa kuvunjwa kwa sababu kimemkosesha Lowassa ushindi wa kuingia Ikulu!
Kinachoshangaza unadai hoja imeandikwa kwa kutumia masaburi lakini umeganda kwenye hoja hiyo.
Huoni kama wewe ndiye una matatizo zaidi.
Ni sawa na kudai choo kinanuka sana halafu ukaganda ndani ya hicho choo bila kutoka. Watu waliokusikia ukidai choo kinanuka watakuona wewe una matatizo kiakili!
Achana na thread iliyoandikwa kwa fikra za masaburi!
Hata wasinge katazwa wasinge fanya lolote lile......Hukumsikiliza rais wa watz lowassa alivyowakataza vijana wa red brigade pamoja na wafuasi wa chadema kuwa watulivu?au ulitamani vurugu zitokee ili unufaike na tabia yako ya ujambazi na uporaji?
Cdm mwaka huu lazima iwaweke kinyumba nyie magambaTuliambiwa kupitia kikosi hiki kuwa CCM hawawezi kuchomoa katika Uchaguzi Mkuu 2015!
Tukasisitizwa sana kupitia kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe kuwa dawa ya CCM ya kuiba kura imepatikana na kama CHADEMA haitaingia Ikulu basi atajiudhuru!
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akaingia gharama ya kuzunguka nchi nzima kutoa mafunzo, kukiimarisha na kutoa vyeti na viapo kwa wahitimu wa mafunzo.
Tukawaona vijana wengine waliohitimu mafunzo wakiwa wamevaa welding goggles kama vile wamehitimu kazi ya kuchomelea vyuma huku wengine wakiwa wamevaa Knee Pads kama wanakwenda kwenye jungle warfare.
Uchaguzi Mkuu ukafanyika, matokeo yakatoka ambapo CHADEMA ilipata wabunge 35 kwenye majimbo 162 ya uchaguzi. Nafasi ya Urais wa Tanzania ikaota mbawa.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akaitisha press conference, akalalamika kuwa ameibiwa kura zake wakati hiki kikundi kilipewa kazi ya kuzilinda kura zake.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akatangaza kuwa yeye ni mshindi wa kura za Urais lakini hiki kikundi hakikujitokeza kumsaidia kwenda kuidai Ikulu kama alivyoahidi Juma Duni Haji, Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania pamoja na kwamba kimefudhu mafunzo ya kutumia nguvu badala ya akili.
CHADEMA imegharamia muda na rasilimali pesa nyingi kwenye hiki kikundi lakini hakijaleta faida yoyote.
Waliokianzisha hawakufahamu kuwa kura kwa sasa katika karne ya 21 zinalindwa kwa njia ya Information technology na sio nguvu za mwili(kufahamu karate).
Hiki kikundi kinatumia outdated mentality katika karne ya 21. Hakifai!
Huu ni wakati wa kukivunja kwa sababu hakina manufaa yoyote katika ukuaji wa CHADEMA.
Asiyesikia la mkuu...!
Baadhi ya vijana wa Red Brigade wa CHADEMA wakiwa wanakula kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe baada ya kuhitimu mafunzo yao ya ulinzi na karate.
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) ambapo Vijana hao walikula kiapo cha utumishi mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
Alafu hata aibu huna aibu unajiita MsemajiUkweli, pumbafTuliambiwa kupitia kikosi hiki kuwa CCM hawawezi kuchomoa katika Uchaguzi Mkuu 2015!
Tukasisitizwa sana kupitia kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe kuwa dawa ya CCM ya kuiba kura imepatikana na kama CHADEMA haitaingia Ikulu basi atajiudhuru!
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akaingia gharama ya kuzunguka nchi nzima kutoa mafunzo, kukiimarisha na kutoa vyeti na viapo kwa wahitimu wa mafunzo.
Tukawaona vijana wengine waliohitimu mafunzo wakiwa wamevaa welding goggles kama vile wamehitimu kazi ya kuchomelea vyuma huku wengine wakiwa wamevaa Knee Pads kama wanakwenda kwenye jungle warfare.
Uchaguzi Mkuu ukafanyika, matokeo yakatoka ambapo CHADEMA ilipata wabunge 35 kwenye majimbo 162 ya uchaguzi. Nafasi ya Urais wa Tanzania ikaota mbawa.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akaitisha press conference, akalalamika kuwa ameibiwa kura zake wakati hiki kikundi kilipewa kazi ya kuzilinda kura zake.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA akatangaza kuwa yeye ni mshindi wa kura za Urais lakini hiki kikundi hakikujitokeza kumsaidia kwenda kuidai Ikulu kama alivyoahidi Juma Duni Haji, Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania pamoja na kwamba kimefudhu mafunzo ya kutumia nguvu badala ya akili.
CHADEMA imegharamia muda na rasilimali pesa nyingi kwenye hiki kikundi lakini hakijaleta faida yoyote.
Waliokianzisha hawakufahamu kuwa kura kwa sasa katika karne ya 21 zinalindwa kwa njia ya Information technology na sio nguvu za mwili(kufahamu karate).
Hiki kikundi kinatumia outdated mentality katika karne ya 21. Hakifai!
Huu ni wakati wa kukivunja kwa sababu hakina manufaa yoyote katika ukuaji wa CHADEMA.
Asiyesikia la mkuu...!
Baadhi ya vijana wa Red Brigade wa CHADEMA wakiwa wanakula kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe baada ya kuhitimu mafunzo yao ya ulinzi na karate.
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) ambapo Vijana hao walikula kiapo cha utumishi mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.