NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,377
- 12,935
Katika kikosi hiki aliyekosekana ni Mbwana Samatta, Mzamiru Yassin na Metacha Mnata ambao walikuwepo kwenye kikosi kilichocheza AFCON 2023 Ivory Coast, ongezeko ni Clement Mzize na Yahya Zaydi.
Credit Azam sports.
Swali langu: Mbona mpaka Sasa TFF bado hawajatoa tamko lolote kuhusu kocha wa Taifa stars wenye mdomo na asiyekua na mbinu katika kufundisha?
Credit Azam sports.
Swali langu: Mbona mpaka Sasa TFF bado hawajatoa tamko lolote kuhusu kocha wa Taifa stars wenye mdomo na asiyekua na mbinu katika kufundisha?