Hiki chama ni cha kidini?

Hiki chama ni cha kidini?

mahindi hayaoti mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2,488
Reaction score
2,979
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Mimi nadhani ungewauliza kwanza Masheikh wako wa Bakwata ambao kila siku wanamfanyia dua mgombea mmoja tu wa Urais.
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Inawezekana, hata serikali ni kama ya dini fulani maana wanaojibu sana ni wa dini fulani hivi.
 
Ukweli ni kwamba hata CCM ni Chama cha kidini yaani kina wenyewe.

TAA

Tanganyika African Association

ASP

Afro Shiraz Party halafu kuna huyu

TANU

Tanganyika African National Union

Kama ukifuatilia Kwa umakini waanzilishi wengi ni wa dini fulani.

Japokuwa haya mambo ya udini hatupaswi kuyapa nafasi tutatengeneza bomu litakalo tugharimu
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Umetumia njia ya haja kubwa kufikiri na kuandika huu uharo
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Wasikubabaishe hao. Ni waropokaji tu!
 
Je wanayoyasema hao viongoz wa dini yana uhusiano wowote na dini, ni ya kweli, yana manufaa kwa taifa na watanzania au hayana?
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Haya sasa ni cha kidini then what next fellor Pay your.bills big brother.
 
Mimi nadhani ungewauliza kwanza Masheikh wako wa Bakwata ambao kila siku wanamfanyia dua mgombea mmoja tu wa Urais.
Kwa nijuavyo bakwata ni taasisi ya serikali na pengine ni kweli kwamba bakwata imeanzishwa na kusimamiwa na kanisa na mimi siikubali bakwata, wasiwasi wenu ndio unawatesa

Swali langu liko wazi kabisa kwa kuwa mumeshaelewa ni chama gani na dini gani so unaweza kusema tu ni yes au no
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Ni kawaida yenu CCM mnapokosa hoja huwa mnakuja na vihoja.
Chama chochote cha upinzani kinapokuwa tishio kwenu mnakiunganisha na dini ili kukipunguza nguvu.
CUF ilipokuwa imara mkaiunganisha na uislam, mkadiriki kutangaza bila haya kupitia taasisi yenu ya polisi kwamba mmekamata majambia kontena zima yaliyoingizwa nchini na CUF.

Hizi hoja za udini hazina mashiko na wananchi wameshazidharau..
 
Back
Top Bottom