Ooh!! Naona na kimbunga nacho kimeingilia kati safari za baharini hamna.Haswaaa. Kesho nlikuwa nivune ndugu yangu halafu usafiri na meli uje Zenji. Tatizo mvua kubwa naskia huko Tanga.
Unaifungia wapi??
Mungu ni mwema. Jana huku kwetu watu wamekwenda kama kawaida aiseee.Ooh!! Naona na kimbunga nacho kimeingilia kati safari za baharini hamna.
Mie naifungia kwa Kunenge.
Afadhali aisee.Mungu ni mwema. Jana huku kwetu watu wamekwenda kama kawaida aiseee.
Na juu ya mawingu kufunga ma-hallat wa kizanzibari teleee darajani kutafuta nguo za skukuu
Boraaà.Afadhali aisee.
Ndo tushazowea hivyo Kaka. Hapo ni mpaka Ramadhani iishe ndo na purukushani zitaisha.
Ole ohale bebeMaliwa
Ngimba mulimasoOlenkafu? Twalubhunju? Olembwike
😂😂😂😂Maana hatuftari vizuri bana. Tunakosa mahanjumati kwa mihangaiko yenu, yaani ni mwendo wa Tambi tu ndugu yangu
TununuOlenkafu? Twalubhunju? Olembwike
Mayao ni viazi vitamumayao hayo pinoga Sana bwana wewe!
Mzizimkavu ndugu zako hao
Nikwo nikwo kyoma