Hiki chakula kwa lugha ya kwenu wanaitaje?

Hicho chakula majina yake yanabadilika kama Mchele. Mchele waweza kuwa Wali, Bokoboko, Pilau, Biriani nk.

Mihogo vile vile unaweza kupata vyakula kibao kulingana na aina ya maandalizi yake.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom