Nadhan ni magari imara kwa utafiti walofanya kwa msaada wa watu wa marekani, na yanakimbizwa vibaya! Leo naibu spika nimepishana nae nzega ile spidi ni noma.
Asilimia 80% ya magari yote Tanzania ni toka Japan.....na 90% ya hayo yakiwa TOYOTA....ndio maana Japana haiachi kutujengea barabara tupitishe magari yao...si ajabu kwa serikali nayo kuwa na hali hiyo....jionee na uhesabu mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.