Wana Jf naomba tuwekane sawa kuhusu jambo hili!Kumekuwa na desturi ya kuwaenzi viongozi wakuu wa nchi kama rais au waziri mkuu pale wanapoondoka madarakani,huwa tunataja majina kwa kuanza na Neno Mtaafu.Kwa mfano:Rais Mstaafu au Waziri Mkuu Mstaafu.Sasa Mheshimiwa Lowassa,yeye hakustaafu bali alijiuzulu wadhifa wake.Kumuita Waziri Mkuu Mstaafu,ni sawa?
Mstaafu ndilo jina stahili na stahiki yake. Kustaafu ni kile kitendo cha kumaliza kutumika!. Hata kama uliteuliwa leo na kuapishwa kesho yake, ukijiuzulu kesho kutwa yake wewe ni mstaafu.Wana Jf naomba tuwekane sawa kuhusu jambo hili!Kumekuwa na desturi ya kuwaenzi viongozi wakuu wa nchi kama rais au waziri mkuu pale wanapoondoka madarakani,huwa tunataja majina kwa kuanza na Neno Mtaafu.Kwa mfano:Rais Mstaafu au Waziri Mkuu Mstaafu.Sasa Mheshimiwa Lowassa,yeye hakustaafu bali alijiuzulu wadhifa wake.Kumuita Waziri Mkuu Mstaafu,ni sawa?
Mnatoa majibu rahisi kwa maswali magumu .mazingira ya south africa na bongo wapi na wapi suala kuu ni je anastahili au hastahili na aitweje.kiswahili sanifu
Mstaafu ndilo jina stahili na stahiki yake. Kustaafu ni kile kitendo cha kumaliza kutumika!. Hata kama uliteuliwa leo na kuapishwa kesho yake, ukijiuzulu kesho kutwa yake wewe ni mstaafu.
Hakuna specified period of time ya kustahili kuitwa mstaafu kati ya utumishi wa siku moja na utumishi wa miaka 10!.
Ila pia tuna vichwa ... humu wanaoamini kustaafu ni mpaka utumikie full term ya cheo husika. Hata kama EL angefutwa kazi bado pia angekuwa mstaafu kwa sababu Maalim Seif alifutwa kazi ya Uwaziri Kiongozi na sasa amerudishiwa haki zake zote kama mstaafu.
Naomba niwakumbushe kuhusu Jacob Zuma, alifutwa kazi na Mbeki, leo angalia Mbeki yuko wapi na Zuma ni nani!.
" Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!" na yale ambayo kwa binaadamu hayawezekani, kwa Mungu, yanawezekana!.
Wapi na wapi mtu aliyemaliza utumishi kwa aibu akaitwa mstaafu? Inatakiwa atajwe hivi...aliywahi kwa waziri mkuu wa...ndg. EL...
....labda aitwe "WAZIRI MKUU ALIESUSA"
Pasco mwenzako yupo kazini, kalaghabao!!......EL anastahili sana kuitwa mstaafu,Pasco amefafanua vema
Lowassa ni waziri mkuu mstaafu.Tatizo lenu chuki binafsi,wivu ..
Mstaafu ndilo jina stahili na stahiki yake. Kustaafu ni kile kitendo cha kumaliza kutumika!. Hata kama uliteuliwa leo na kuapishwa kesho yake, ukijiuzulu kesho kutwa yake wewe ni mstaafu.
Hakuna specified period of time ya kustahili kuitwa mstaafu kati ya utumishi wa siku moja na utumishi wa miaka 10!.
Ila pia tuna vichwa ... humu wanaoamini kustaafu ni mpaka utumikie full term ya cheo husika. Hata kama EL angefutwa kazi bado pia angekuwa mstaafu kwa sababu Maalim Seif alifutwa kazi ya Uwaziri Kiongozi na sasa amerudishiwa haki zake zote kama mstaafu.
Naomba niwakumbushe kuhusu Jacob Zuma, alifutwa kazi na Mbeki, leo angalia Mbeki yuko wapi na Zuma ni nani!.
" Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!" na yale ambayo kwa binaadamu hayawezekani, kwa Mungu, yanawezekana!.
Tafuta neno resign lina maana gani kwa Kiswahili. Hilo ndilo hasa litamtambulisha Lowassa kwa sasa, kwa kuwa yeye aliresign na hakuretire. Kustaafu maana yake ni retire, ambalo kwa dictionary yangu niliyonanayo hapa maana yake ni
1. [ I ] to leave your job or stop working because of old age or ill health
2. [ I ] to stop taking part in a race or competition because of illness or injury
She retired from the competition after pulling a leg muscle.
3. [ T often passive ] If an employer retires an employee, they make that person leave their job, usually at a time when they are near to the age at which they would normally stop working, or because they are ill
Following the merger, he was retired with a generous pension.
Kwa mfano wako wa Xuma ni vitu viwili tofauti kwa jinsi unavyoeleza hapo.Kwa kuwa ninaimani South Africa wanatumia Kiingereza basi Xuma aliresign wala hakuretire kama wewe unavyotaka kutuaminisha
Hata kama ni wapambe wa Lowassa tumieni basi hata akili kumtetea. Lowassa hakuretire kama sifa ya mtu aliyereture inavyoonyesha. Unless uniambie kuwa kustaafu haina maana ya kuretire au kuresign ni sawa na kuretire