kelvinkipeta
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 108
- 11
Hoja kama hizo ni za msingi ila aitwe tu waziri mkuu aliyejiachisha kazi kuogopa aibu
you are complicating! ataitwa hivyo tu mkuu....hakufukuzwa yy aliachia madaraka, kama wengine
kwa definition zako hakuna waziri mkuu ambaye ali-retire!!! wote walifikia terms zao
Mr Lowasa is Former prime Minister & not Retired Prime Minister.
Kumwita waziri mkuu mstaafu ni sawa. Huwezi kumwita waziri mkuu aliyejiuzulu kwa sababu kwenye kiswahili sanifu haijakaa vizuri.