JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,034
Tafadhali tembelea www.rahatz.tk kwa njia yoyote iwe mobile au computer. Kisha unipe mtazamo wako. Nimpya na yawezekana inamakosa. So utakuwa umenisaidia
Iko poa man,kwa watumiaj wa kawaida iko poa,labda maexpert wataiona vingine,but mim nimefungua kwa simu na nimeinjoy
Donn niaje?mbona leo nimeichek naambiwa imefungiwa coz of abusive usage..vp hapo?
In my views, una wazo zuri ila, tukianza na theme n customizations, logo umeweka kuuubwa afu sio transparent imeonekana amateur sana. Theme unayotumia ni free theme haionekani poa. Tukija kwenye content umechomoa idea humu jf.... kwa kuanzia ni hayo tu
ni nzuri hata mie nimeitest..ila sijaona sehemu ya kudownload video BUT IT IS SO NICE..big up sana
mkuu ulituingizi virus au
siwezi weka virus ndugu... Wamenifungia kwa kuwa ni yabure na tayari nimeipa rank nzuri google. Ndomaana nasaka domain ya .com
Acha kuwadanganya wenzio .tk huwa hawafungi domain una tatizo na host wako thats why website sometime inakua offline sometime online.
Pia kuhusu rank site yako ina rank 0 katika google na 0 tena alexa rank sasa sidhan kama kuna mtu ana haja na site inayo score 0.
Acha kuwadanganya wenzio .tk huwa hawafungi domain una tatizo na host wako thats why website sometime inakua offline sometime online.
Pia kuhusu rank site yako ina rank 0 katika google na 0 tena alexa rank sasa sidhan kama kuna mtu ana haja na site inayo score 0.
Bwana chief, dot.tk huwa wanafunga kama domain yako haijawa visited atleast 25 times per 3 months
Acha kuwadanganya wenzio .tk huwa hawafungi domain una tatizo na host wako thats why website sometime inakua offline sometime online.
Pia kuhusu rank site yako ina rank 0 katika google na 0 tena alexa rank sasa sidhan kama kuna mtu ana haja na site inayo score 0.
unajua unaongea kama unajua kumbe hujui. Kama upo facebook sema nikuadd kwenye group la dot.tk ambassadors uone.
au andika google na usearch ''my dot.tkwas cancelled'' na uone majibu na mijadala ya watu. Sivyema kukurupuka kama hujui kitu. Na rank itaonekana vp wakati site haipo?