Mkuu
Dotworld kwa kuziona hizo wazi huenda mimi macho yangu yakapofuka maana nitakuwa kama vile chizi...... Uuuuwiii mamayake aliye mzaa bibi yangu .............. Waswahili husema Nzi kufia kwenye kidonda huwa ni halali yake.............
Mkuu Dotworld ni wapi huko niende?