BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Kama alikuwa anamaanisha wazamani utajuaje!!!Yawezekana Laligeni kuna jambo ulilofanya tofauti na nyuma ndipo akasema hivyo elewa pia ulimi hauna mfupa may be alitaka kumaanish kitu kingine, usihukumu kwanza jaribu kufikiria nawepi ulifanya kitendo gani ama kitu gani ulikifanya hadi akasema hayo maneno. Kabla ya kumchunguza jichunguze nawe pia!