Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

Endelea na ushabiki maana mpaka sasa wewe unakula kwa mama ntilie huna familia hata ugumu wa maisha uujui na nina wasi wasi wewe utakuwa bado unakula kwa Baba
Mkuu kweli huyo ni kula kulala tu
 
Swali langu ni kuwa UKAWA ni matapeli! Mmeshindwa kumpa Ubunge wa Viti Maalum mke wa mwenyekiti mwenza wa Ukawa, badala yake mnampa EL viti 5 ambavyo amevigawa kwa wanaCCM!
Act ina uwakilishi wa wabunge wa viti maalum wangapi?
 
Wacha kulia lia wewe,bila zzk ungekuwa una hata hicho kimchina?alivyokwambia kuwa wewe ni kk almaanishakuwa unamtegemea sana omwami
Mimi siyo saizi yako kijana! Hapa natumia laptop Apple na siyo huyo mchina wako. Ninakula pensheni wewe unaangaika kuzungusha mikono!
 
Back
Top Bottom