Hebu fikiria! Tutakulipa mishahara yako yoteeh!Tutakulipa na kiinua mgongo na posho zote za vikao mpaka 20! Je kama ni wewe ungekataa!? Na they told you ukikataa tunakupoteza! Utakataaaah? Nina wasiwasi na mungu wa mukulu je ni huyu wa isaka na yakobo!?