fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,891
- 2,367
Nimekutana na tangazo kutoka serikali ya mtaa Vijibwenibikitahadharisha wakazi wa vijibweni wanaopenda kwenda baharini pamoja na wavuvi wanaoenda kuvua samaki kuwa na tahadhari kwani kuna mamba huko.
Sasa nijuavyo mimi mamba anaishi kwenye maji baridi na sio ya chumvi kama ya bahari. Uwepo wake kwa sehemu kama ya Kigamboni ni dhahiri kuwa atakuwa katoka mbali kama sehemu zinapokutana mto Ruvu na bahari au Wami na bahari pamoja na mto Rufiji.
Lakini amewezaje ku-survive baharini au mamba anaweza kuishi maji ya aina zote ya bahari na mito au maziwa.
Kwa anayefahamu au mwenye taarifa zaidi kuhusu hili jambo maana linanipa mashaka sana.
Sasa nijuavyo mimi mamba anaishi kwenye maji baridi na sio ya chumvi kama ya bahari. Uwepo wake kwa sehemu kama ya Kigamboni ni dhahiri kuwa atakuwa katoka mbali kama sehemu zinapokutana mto Ruvu na bahari au Wami na bahari pamoja na mto Rufiji.
Lakini amewezaje ku-survive baharini au mamba anaweza kuishi maji ya aina zote ya bahari na mito au maziwa.
Kwa anayefahamu au mwenye taarifa zaidi kuhusu hili jambo maana linanipa mashaka sana.