kwani wakati mwanaume ana-shoot hiyo video mwanamke anakua kazimia? ndo wakome kugongwa ovyo! wengi wanaofanyiwa hivyo ni malaya tu kama wale wanaojiuza.
ila nadhani wengine wanatoa consent, si unajua mapenzi niondoe ufahamu!!
kuna ule mtindo wa kurekodi kwa kutumia pc, unakuta jamaa kakuwekea muvi ya xxx demu anafuata zile style bila kujua webcam iko on utamu wote unarekodiwa!
kuna ule mtindo wa kurekodi kwa kutumia pc, unakuta jamaa kakuwekea muvi ya xxx demu anafuata zile style bila kujua webcam iko on utamu wote unarekodiwa!
ndugu yangu hapo nimedeal na wote,hao watu wazima mimi nimewaweka kundi kundi moja na wavula kwani akili zao zinafanana.Anayefanya mambo ya kitoto basi na yeye ni mtoto
Hii tabia ya kijinga sana yani nikikugundua unanichukua video nakuvunja mkono na simu navunja
ndugu tena futa na udelete kabisaa..ikiwezekana na hiyo card tia moto.
Kuna wa2 wazima wengine ovyooo ndo wanaongoza kwa mambo ya kijinga,unakuta ye ndo wa kwanza kufunguka na kukuonyesha hizo picha tena unakuta katumia pisa nyingi ili ampige picha za utupu kisa kuonyesha vijana wadogo mana nimeshas shuhudia tukio la namna hiyo.....
Na ifikie wakati kina dada/ mama wawe na msimamo ,,,,,,,, ukihisi kurekodiwa katisha utamu vunja simu au futa hiyo video immediately
kwanza tendo ni kufanyika usiku ukifika all electrionic off iwe taa , simu na vinginevyo .