Achaga upumbafu unasafirije bila hela?halafu unapanga kula chakula cha elfu 3 banaJe kwa nini wanapenda kupeleka abiria kwenye hoteli za gharama kubwa sana na ambazo zipo porini kusipopatikana vyakula vya bei nafuu?
Juzi nilisafiri kutoka Morogoro kwenda shinyanga kwa usafiri wa basi ya Abood... baada ya kufika wilaya ya Bahi Dodoma, walishusha abiria kwa ajili ya chakula cha mchana mda wa saa tano na robo ivi.
Kutokana na safari yangu ilikuwa ya dharura na sikuwa na pesa nilipanga njiani nitumie pesa isiyozidi 3000/=
Tuliposhuka pale nilienda kuulizia wali nikaambiwa sahani ni 5000/=
Nikaona niachane nao nikaenda kununua andazi mbili nikatoa 2000 nikijua haizidi buku kwa zote mbili. Nikashangaa naambiwa andazi moja ni 1000 af bayaaa.
Hii tabia sio ya abood pekee ni mabasi karibia yote ya masafa marefu.
Je ni sahihi? Mana niliangalia abiria wengi hawakula na kati ya basi zima hawafiki 10 waliokula pale. Na abiria wanaopanda mabasi haya wengi ni wa kipato cha kawaida. Kwa upande wangu huu ni unyanyasaji wa abiria na wizi wa lazima
Hilo ndio jambo la kushangaza hiyo hela elfu tatu aliyosema hata yeye nyumbani kwake mlo mmoja haitoshi ila anataka itumike kwenye safari na itosheAchaga upumbafu unasafirije bila hela?halafu unapanga kula chakula cha elfu 3 bana
Wee naye! Njia ya Arusha Moshi nayo unakula! Mchwa au nzige?
huyo ni bahariaDAWA NI KUSAFIRI NA CHAKULA.BIBI YANGU HATAKI MASIHARA YEYE AKISAFIRI SAFARI NDEFU ANATENGENEZA CHAPATI ZAKE,ANAKAANGA NYAMA NUSU NA CHAI ANAWEKA KWENYE CHUPA.
YEYE HANA HABARI NA HAYO MAANDAZI YA BUKU
Dar to Moshi/Arusha wewe kweli bongolalaWee naye! Njia ya Arusha Moshi nayo unakula! Mchwa au nzige?
Sijaelewa Sasa hapo unawatuhumu Abood bus kwa lipi.. je wao ndio wamiliki wa hiyo sehemu ya chakula? maaana shida kumbe ni bei ya chakula njiani ingekuwa kama ni kwa njia ya DAR-ARUSHA ukawatuhumu Kilimanjaro Bus au Dar Express labda ingekuwa sawa kwa kuwa wao ndio pia wamiliki wa hotel mabasi hayo husimamaJe kwa nini wanapenda kupeleka abiria kwenye hoteli za gharama kubwa sana na ambazo zipo porini kusipopatikana vyakula vya bei nafuu?
Juzi nilisafiri kutoka Morogoro kwenda shinyanga kwa usafiri wa basi ya Abood... baada ya kufika wilaya ya Bahi Dodoma, walishusha abiria kwa ajili ya chakula cha mchana mda wa saa tano na robo ivi.
Kutokana na safari yangu ilikuwa ya dharura na sikuwa na pesa nilipanga njiani nitumie pesa isiyozidi 3000/=
Tuliposhuka pale nilienda kuulizia wali nikaambiwa sahani ni 5000/=
Nikaona niachane nao nikaenda kununua andazi mbili nikatoa 2000 nikijua haizidi buku kwa zote mbili. Nikashangaa naambiwa andazi moja ni 1000 af bayaaa.
Hii tabia sio ya abood pekee ni mabasi karibia yote ya masafa marefu.
Je ni sahihi? Mana niliangalia abiria wengi hawakula na kati ya basi zima hawafiki 10 waliokula pale. Na abiria wanaopanda mabasi haya wengi ni wa kipato cha kawaida. Kwa upande wangu huu ni unyanyasaji wa abiria na wizi wa lazima
Arusha Moshi sasa Dar to Moshi/Arusha na tusi juu! Pigs Ua mmbongo hua hana tsbia ya kukubali kosa, hata akisahau kunywa dawa kwa muda atakuambia amekunywa!Dar to Moshi/Arusha wewe kweli bongolala
Mkuu uwe unasafiri na mikate basi kama kina nanihii wanaopenda kulakula kwenye gari.Sisi hatuna shida na sehem ila bei ndugu. Watanzania wengi wanaumizwa na bei zao
Kwani lazima kununua chakula hotelini? Pika ugali nyumbani kwako ule njian, ukiharisha njian usilaumu mtuHawa watu hufikiri wasafiri ni manyama fulani kutoka sayari ya pluto, hayajui bei ya vyakula na ni majinga yakiuziwa chakula chochoye kwa bei yoyote wananunua
Bebeni na mabogaDawa yao basi zima mnabeba vyakula kama ndizi,mihogo,viazi nyama ya kuchoma kwenya take away juice,soda take away,
mkifika pale nyie hamshuki
Maisha ya sasa ni kuliana timing tu
Huyo Bibi ni zaidi ya professor tena nampongeza kwasabb anajua maisha kuliko Sisi wa miaka hii sikuzote kama unasafiri Safar ndefu jitahidi kuandaa chakula chako mwenyewe,hii inasaidia kubana bajeti pia hata kiafya ni vizuri kuwa makini na misosi ya njianDAWA NI KUSAFIRI NA CHAKULA.BIBI YANGU HATAKI MASIHARA YEYE AKISAFIRI SAFARI NDEFU ANATENGENEZA CHAPATI ZAKE,ANAKAANGA NYAMA NUSU NA CHAI ANAWEKA KWENYE CHUPA.
YEYE HANA HABARI NA HAYO MAANDAZI YA BUKU
HAHAHAHAHAHA AISEE KWELI MAMBO MENGI NA MUDA HAUTOSHIKwani lazima kununua chakula hotelini? Pika ugali nyumbani kwako ule njian, ukiharisha njian usilaumu mtu
Watu hatuishi kulalamikaHAHAHAHAHAHA AISEE KWELI MAMBO MENGI NA MUDA HAUTOSHI