Hii tabia ya wamiliki wa mabasi yanayosafiri safari ndefu

Achaga upumbafu unasafirije bila hela?halafu unapanga kula chakula cha elfu 3 bana
 
Achaga upumbafu unasafirije bila hela?halafu unapanga kula chakula cha elfu 3 bana
Hilo ndio jambo la kushangaza hiyo hela elfu tatu aliyosema hata yeye nyumbani kwake mlo mmoja haitoshi ila anataka itumike kwenye safari na itoshe
 
DAWA NI KUSAFIRI NA CHAKULA.BIBI YANGU HATAKI MASIHARA YEYE AKISAFIRI SAFARI NDEFU ANATENGENEZA CHAPATI ZAKE,ANAKAANGA NYAMA NUSU NA CHAI ANAWEKA KWENYE CHUPA.
YEYE HANA HABARI NA HAYO MAANDAZI YA BUKU
huyo ni baharia
 
Sijaelewa Sasa hapo unawatuhumu Abood bus kwa lipi.. je wao ndio wamiliki wa hiyo sehemu ya chakula? maaana shida kumbe ni bei ya chakula njiani ingekuwa kama ni kwa njia ya DAR-ARUSHA ukawatuhumu Kilimanjaro Bus au Dar Express labda ingekuwa sawa kwa kuwa wao ndio pia wamiliki wa hotel mabasi hayo husimama
 
Hawa watu hufikiri wasafiri ni manyama fulani kutoka sayari ya pluto, hayajui bei ya vyakula na ni majinga yakiuziwa chakula chochoye kwa bei yoyote wananunua
Kwani lazima kununua chakula hotelini? Pika ugali nyumbani kwako ule njian, ukiharisha njian usilaumu mtu
 
DAWA NI KUSAFIRI NA CHAKULA.BIBI YANGU HATAKI MASIHARA YEYE AKISAFIRI SAFARI NDEFU ANATENGENEZA CHAPATI ZAKE,ANAKAANGA NYAMA NUSU NA CHAI ANAWEKA KWENYE CHUPA.
YEYE HANA HABARI NA HAYO MAANDAZI YA BUKU
Huyo Bibi ni zaidi ya professor tena nampongeza kwasabb anajua maisha kuliko Sisi wa miaka hii sikuzote kama unasafiri Safar ndefu jitahidi kuandaa chakula chako mwenyewe,hii inasaidia kubana bajeti pia hata kiafya ni vizuri kuwa makini na misosi ya njian
 
wnachofanya si haki ila mamlaka husika zimekaa kimya kuna hotel nyingi zinatoa chakula kwa bei nzuri lakini hawa wenye mahotel kwa sababu wanawapa madereva na makonda chakula bure pamoja na posho wanaamua kuwakamua abiria nyingine ndio maana rushwa kuisha tanzania ni ngumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…