Hii tabia ya spika Anne Makinda kufokea watu kama watoto inanifanya nijisikie vibaya...

mwanamke anayeishi bila mume mara nyingi anakuwa na hulka za ajabu ajabu tu, hizo zote ni kukosa mume

mkuu chimunguru, ni kweli kbs. mwanamke asiye mume hizo ndo tabia zake as per your thread. anna anajiona yeye ni mama na yeye ni baba. lkn hiyo ni nyumbani kwake. no strength of a woman there.
 
Sio tu spika, naibu wake is even worse.. Heshima ndani ya bunge ni zero na hizi vurugu mwigulu ndo kazianzisha
 
Jamani kila nikiangalia bunge.....huwa ninafurahi sana.....lakini spika kuwafokea watu wazima kama watoto wadogo....huwa najisikiaga vibaya........sifahamu nyinyi wenzangu...........


Hii kauli ;kaaa chiniii

Ana stress huyo spika
 
Siku zote mwalimu mkali huwa hajui kufundisha na njia bora wanafunzi kutokujua udhaifu wake ni kuwaharasi/kuwatisha wanafunzi na mwalimu anayejiamini hana sifa hizo.
Ni kawaida kwa asiye na uwezo na kwani hajui alitendalo pia hajui mamlaka yake kilugha yanaishia wapi anadhani kama wewe msemaji mkuu basi unaweza kumwambia mtu kaa chini!
Ni kosa la uelewa na hili wanatakiwa wajue kuwa walifanya makosa na litawagharimu kama itakavyokuwa kwa vyombo vya umma kutopendwa na wananchi kuliko vya binafsi.
Angalia vyombo vya umma, mali za umma, usafiri wa umma, vyombo vya habari vya umma nk vinashindwa kushindana na binafsi pamoja na ruzuku wanazopewa.
 
Jamani kila nikiangalia bunge.....huwa ninafurahi sana.....lakini spika kuwafokea watu wazima kama watoto wadogo....huwa najisikiaga vibaya........sifahamu nyinyi wenzangu...........


Hii kauli ;kaaa chiniii

Anajiona yupo top pale yani kama boss na unajua uongozi wa kupewa ulivyo
 
hiyo ni defensive mechanism anamapungufu fulan so anatumia mbinu hiyo ili kuficha udhaifu wake

Kama ni mapungufu tu anayo neng sana na ujumlishe naya ccm itamlazimu kuwa hivyo kwa kutetea ubaya na udhaifu wa ccm
 
Kukosa mume na kutowahi kuzaa husababisha ugonjwa fulani kisaikolojia unakuwa na 'kichaa' fulani cha kisaikolojia...watafiti wa saikolojia watatuhabarisha zaidi ila habari ndio hiyo!!

yeye watoto anao kimbembe ni mume wa kuishi nae!
 
Jamani kila nikiangalia bunge.....huwa ninafurahi sana.....lakini spika kuwafokea watu wazima kama watoto wadogo....huwa najisikiaga vibaya........sifahamu nyinyi wenzangu...........


Hii kauli ;kaaa chiniii

Kumbuka ameshawahi kuwa mwalimu kabla...hiyo ni moja ya kauli za kawaida kwa waalimu.
 
mwanamke anayeishi bila mume mara nyingi anakuwa na hulka za ajabu ajabu tu, hizo zote ni kukosa mume

Wakuu achaneni na hiyo habari ya kuwa au kutokuwa na mume. Hayo ni maisha binafsi ya mtu na zaidi ya hapo huyo ni mama tujaribu kumpa heshima yake kama mama. Tujadili utendaji wake kama kiongozi kwani kwa kufanya hivyo kuna watakao jifunza kutokana na makosa yake ili wao waje wafanye vizuri zaidi.

Binafsi sipendi anavyoliendesha bunge kwa mabavu, uonevu kwa upinzani na upendeleo wa wazi kwa magamba lakini watu wakiaanza kukashfu kuhusu maisha yake binafsi huwa najisikia vibaya sana. SIYAPENDI MAGAMBA LAKINI SIPENDI ZAIDI KUTUKANA/KUKASHFU WATU KATIKA MAMBO BINAFSI.
 
Jamani kila nikiangalia bunge.....huwa ninafurahi sana.....lakini spika kuwafokea watu wazima kama watoto wadogo....huwa najisikiaga vibaya........sifahamu nyinyi wenzangu...........


Hii kauli ;kaaa chiniii
Mkuu huyo mama kawekwa pale kama stop gap au polisi wa CCM bungeni kujitahidi kudhibiti hoja zenye nguvu bungeni ili waendelee kula kuku zao bila bugudha!!! Kweli kama bunge lililo makini litakubali vipi watu waendelee kufa mahospitali, shule zetu zizalishe vilaza serikali ishindwe kuwajibishwa nabunge!!! Tena Mhe Raisi atangaze eti watu waendelee kufa kwa maana serkali haina fedha, yeye kawekwa kwenye madaraka na nani, kazi yake nini kama sio kutafuta solution ili Watanzania waendelee kuishi ingawa kwa raha kidogo!!!
Ukitilia maanani huyo mama alikuwa na dharau na kiburi tangu enzi za Mwl akiwa waziri, majibu yake yalikuwa vile vile bungeni ya dharau na kejeli!!
 
Wakuu achaneni na hiyo habari ya kuwa au kutokuwa na mume. Hayo ni maisha binafsi ya mtu na zaidi ya hapo huyo ni mama tujaribu kumpa heshima yake kama mama. Tujadili utendaji wake kama kiongozi kwani kwa kufanya hivyo kuna watakao jifunza kutokana na makosa yake ili wao waje wafanye vizuri zaidi.

Binafsi sipendi anavyoliendesha bunge kwa mabavu, uonevu kwa upinzani na upendeleo wa wazi kwa magamba lakini watu wakiaanza kukashfu kuhusu maisha yake binafsi huwa najisikia vibaya sana. SIYAPENDI MAGAMBA LAKINI SIPENDI ZAIDI KUTUKANA/KUKASHFU WATU KATIKA MAMBO BINAFSI.
Huyu mama ana bahati mbaya kawekwa in between kama ukuta au ngome ya kukinga upepo ua dhoruba kuingia, yeye ni kinga hivyo yeye na kampuni yake ni kulinda maslahi ya wakubwa!!! Kwa yeyote aliye kinyume na maslahi ya walaji wa CCM na serikali yake huyo kwake ni adui atapambana naye hadi kieleweke!!!

 
Tatizo anna makinda anajua kila mbunge lazima aheshimu kitu cha spika lakini hajui hata kama una nguvu vipi kama hautatoa heshima ile kwa unaotaka wakuheshimu kiti cha spika hakitaheshimiwa kamwe mbona kipindi cha sita hatukuwahi kuona miongozo mingi kama sasa au mabishano ya wabunge na spika.
 
Huyu mama ana bahati mbaya kawekwa in between kama ukuta au ngome ya kukinga upepo ua dhoruba kuingia, yeye ni kinga hivyo yeye na kampuni yake ni kulinda maslahi ya wakubwa!!! Kwa yeyote aliye kinyume na maslahi ya walaji wa CCM na serikali yake huyo kwake ni adui atapambana naye hadi kieleweke!!!

Hilo linajulikana ndugu yangu mie tatizo langu ni kukosea adabu kuhusiana na maisha binafsi yeye kama mama/mwanamke.
 
Wakuu achaneni na hiyo habari ya kuwa au kutokuwa na mume. Hayo ni maisha binafsi ya mtu na zaidi ya hapo huyo ni mama tujaribu kumpa heshima yake kama mama. Tujadili utendaji wake kama kiongozi kwani kwa kufanya hivyo kuna watakao jifunza kutokana na makosa yake ili wao waje wafanye vizuri zaidi.

Binafsi sipendi anavyoliendesha bunge kwa mabavu, uonevu kwa upinzani na upendeleo wa wazi kwa magamba lakini watu wakiaanza kukashfu kuhusu maisha yake binafsi huwa najisikia vibaya sana. SIYAPENDI MAGAMBA LAKINI SIPENDI ZAIDI KUTUKANA/KUKASHFU WATU KATIKA MAMBO BINAFSI.
hii kitu ni kweli na sio vizuri kuingilia masuala binafsi lakini wengi wanasema ishara ya uongozi (external/internal) inaanzia ngazi ya familia. Na kwa kipimo hicho ndipo mtu anasogea mpaka uongozi wa jamii/umma, si ajabu nchi zilizo staarabika suala la historia ya familia ya mtu lina nafasi kubwa sana.
Kwa maana hiyo yanayotokea bungeni kuna uwezekano mkubwa yakawa ni matokeo ya suala hilo hilo.
 
Back
Top Bottom