Hii tabia ya mpenzi wangu ina dawa?

Hii tabia ya mpenzi wangu ina dawa?

Ushauri anaopewa siyo wa kuachana naye ameuliza anatatizo gani kila mdau katoa kutokana na uelewa wake
akubali aishi naye na kwenye kujifungua operation inamhusu na mambo mengine akae naye makini amuulize kwa kukaa naye chini kabisa ili aweze kupata usaidizi mkubwa
watumia tigo wengi labda atumie kwa kipindi kifupi akizoea inakuwa misuli imelegea sana hata upumuaji unakuwa hauna mpangilio sahihi na mtoto siku anazaa hawezi kusukuma kwa sababu upepo unatoka sehemu nyingi
ni dhambi ngono kabla ya ndoa ndo maana hata ushaur mwing hapa niwakukufanya uachane naye yote hayo mnamfuraisha shetan,acha uasherat cku mkifunga ndoa atakua sawa nawe utashangaa!
 
Dawa ipo,
Ni kumvumilia tu na kujifunza kustiriana aibu zenu.
 
Papuchi huwa nayo inajamba,..ukipiga in and out so hewa ikiingia nyingi wakati wa kutoa dushelele papuchi nayo uwa inajamba...ni kawaida tu..
 
uuuu....! mbavu zangu! loh, nilinuna kweli, asanteni kwa kicheko!
 
Mbona umejitetea haraka hivyo,mie nimekwambia anakuelekeza njia ya upande wa pili...hahahaa labda kuna mwenzio alishapita hahahaaaaa.....
sijawahi kwenda huko na wala sitegemei
 
Nina mpenzi wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa mapema mwakani.
Tatizo lililopo wakati wa kula tunda mwenzangu anajamb.a sana, yaani nikiweka tu gegedu langu katika papuchi yake na kuanza kupump na yeye anajibu kwa kuachia ushuz, je tatizo ni nini naomba ushauri wa kujenga please

Pole mkuu. Ameshafanywa vibaya huyo kwenye hiyo back door. Inawezekana na watangulizi wako kwa kuwa najua unajua kuna walio kutangulia kwake. Baadaye huyo atawasumbua wauguzi kwa kwa kuachia mzigo mkubwa wakati wa kujifungua
 
kaka atakuwa alikuwa anatoa kabang huyo kabla haujakutana naye huyo mchunguze kwa undani
 
Hivi karne hii kuna mtu anaingia ktk ndoa bila kuonja papuchi ya mchumba wake?? labda uko sayari ya Mars

Sio papuchi tu bali mgegedo usiku kucha tujue kabisa pafu analo ama vipi sio kujiolea tu halafu unashangaa mtu ikifika saa tisa usiku anawika kama jogoo
 
hivi kweli ulitegemea kuna ushauri wa maana utakuja kupata humu akatika situation kama hiyo cha msingi kabla ya kuanza tendo muwekee bunzi la hindi alafu endelea nae,ukimalliza toa
 
hivi kweli ulitegemea kuna ushauri wa maana utakuja kupata humu akatika situation kama hiyo cha msingi kabla ya kuanza tendo muwekee bunzi la hindi alafu endelea nae,ukimalliza toa

Hahahaaaa we kweli mndengereko
 
Ingiza gumba mlango wa nyuma akitulia ujue kashanyonyolewa huyo!
 
mpake supglue kwenye tundu linalotoa mbolea aina ya mboji
 
Back
Top Bottom