Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Siku hizi wanaume kuzaa hovyo hovyo na kila sehemu ishakuwa kama fashion vile Ila hii kitu inaaribu psychology ya Watoto wa Nje ya ndoa Yani wanatengwa kwenye kila sehemu hawathaminiki kabisa wanaonekana kama watoto wa bahati mbaya as if waliomba wazaliwe nje ya ndoa
Wanaume ndo wanaotengeneza hii sumu ya kuwatenga watoto wa nje ya ndoa
Ni Jambo Zuri sana kama mwanaume atasimama na kuwaunganisha watoto wote na Watoto Wote Kujuana na kuwa Kimoja sio kutengwa kama vile hawastahili au hawana thamani kama hao watoto wengine
Ila Watoto wa nje ya ndoa mambo yao yanawanyookeaga sana kuliko wa ndani ya ndoa
Kuzaa zaa hovyo kunafanya kuaribu psychology ya Watoto
Wanaume ndo wanaotengeneza hii sumu ya kuwatenga watoto wa nje ya ndoa
Ni Jambo Zuri sana kama mwanaume atasimama na kuwaunganisha watoto wote na Watoto Wote Kujuana na kuwa Kimoja sio kutengwa kama vile hawastahili au hawana thamani kama hao watoto wengine
Ila Watoto wa nje ya ndoa mambo yao yanawanyookeaga sana kuliko wa ndani ya ndoa
Kuzaa zaa hovyo kunafanya kuaribu psychology ya Watoto