Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,990
- Thread starter
- #41
Nilisha apa siwezi na sinto fanya huo ujinga wa kuwatenga watoto wangu wa nje,maisha ni safari ya kesho siyajui kwanini niitenge damu yangu
Kweli kabisa bora uwaweke sawa wawe kitu kimoja kuliko kuwatenga