Hii tabia sio kabisa wadau

Kwa kifupi huyo hayuko tayari kuwa na wewe...she is using you. Tafakari na chukua hatua
 

Proffesor anasema. ... Mkuuuuu nimekupata sasa..
 
Wenzako wanaacha kabisa waagize vinywaji na vyakula vya kutosha...ndio wanateleza...

Ila hakikisha hiyo sehemu haujulikani...hukawii kukuta bili inakusubiri...


 
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"

***** zao......mi nawaangalia tu wajishebedue kuagiza miguu ya mbuzi, mara cjui vocha za elfu 20, ma bia utafikiri mi ni chuma ulete halafu mwisho wa cku nawatoroka
 
***** zao......mi nawaangalia tu wajishebedue kuagiza miguu ya mbuzi, mara cjui vocha za elfu 20, ma bia utafikiri mi ni chuma ulete halafu mwisho wa cku nawatoroka

Wewe watu tunakuwaza na reserve babuu ukitoroka tunaanza kuwatext wengine
"baby naomba elfu 20 nimekwama hapa", nkiwatext mababy watano nna laki nalipa bill na change inabaki
kantangaze
 

Wa mtogole/manzese/yombovituka huyo. Mwanamke classic mwenye shule kichwani hawez fanya upuuuzi huo. Seriously !! Mara nyingi nikishamsoma dem ana itikadi hzo huo namchanaga live before tha date itself. After tha date napga chini.
 
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"

Hahahahaha u spoke my mind lady, mule mule yan. Nimecheka sanaa !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…