Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
Kuna kitu sielewi kuhusu Uandishi wa baadhi ya magazeti, ni hivi mtu unaona habari kwenye ukurasa wa mbele wa Gazeti unaisoma Habari hiyo labda inachukua kama mistari kumi au zaidi halafu wanasema habari inaendelea ndani ukurasa fulani.
Sasa kinachoniudhi ukifunua na kutaka kuendelea kusoma hiyo Habari unakuta Habari imeandikwa tena tangu mwanzo kama ulivyoisoma uk wa 1, sasa kwa nini wasiendeleze walipoishia uk wa 1? kwa maana wameandika inaendelea uk fulani? Kuna haja gani tena ya mtu kurudia yale yale uliyosoma uk wa kwanza?
Sasa kinachoniudhi ukifunua na kutaka kuendelea kusoma hiyo Habari unakuta Habari imeandikwa tena tangu mwanzo kama ulivyoisoma uk wa 1, sasa kwa nini wasiendeleze walipoishia uk wa 1? kwa maana wameandika inaendelea uk fulani? Kuna haja gani tena ya mtu kurudia yale yale uliyosoma uk wa kwanza?