fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,725
- 2,630
Mbio za vijiti.vijana wa Musoma hapo wengi wanakwama , miaka ya nyuma 2008-10 walikuwaga na makundi ya kipuuzi ya kupigana, kubaka ,kuvuta bangi na kuuana Mfano mdomo wa furu nk
Mbio za vijiti.vijana wa Musoma hapo wengi wanakwama , miaka ya nyuma 2008-10 walikuwaga na makundi ya kipuuzi ya kupigana, kubaka ,kuvuta bangi na kuuana Mfano mdomo wa furu nk
Vp wao hawatoi?Kama bado ni muendaji basi utakutana nayo tu, vijana wa pale kama makuwadi/madalali kwa mademu ukimnunulia kinywaji tu anakuletea demu yyte utakaemuhitaji.
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Unaweza kujikuta wewe ndio unawagawiaVp wao hawatoi?
Mtoto wa kiume unaogopaje kisu?Mimi naogopaga hizo mambo.Ukimnyima anaweza akakuvizia akakupiga kisu.
Mbio za kijiti na kundi lingine nimelisahau jina, walitesa sana miaka hiyovijana wa Musoma hapo wengi wanakwama , miaka ya nyuma 2008-10 walikuwaga na makundi ya kipuuzi ya kupigana, kubaka ,kuvuta bangi na kuuana Mfano mdomo wa furu nk
Sasa pale yaan ndo hawa jamaa wa kuomba omba wapo wengiHivi Musoma pale pana ukumbi gani wa starehe zaidi ya pale gorofani?
😆😆 Hii ni hatari sana kwa afyaHabari wana JF,
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Kumekua na tabia yaajabu sana na ya kusikitisha sana hasa kwenye kumbi mbalimbali za starehe yaani ukiingia kwenye kumbi nyingi za starehe hapa mjini Musoma Kuna kuwa na vijana wengi sana wa kike na wakiume.
Lakini jambo linalo nisikitisha nikua vijana hawa hasa wakiume wamekua omba omba wakiwa kwenye kumbi hizo za starehe tena kazi yao ni kuzunguka na cup wakikufikia kwako wanasogea karibu na kukuambia uwawekee kinywaji kidogo haijalishi ni kinywaji gani unatumia yeye ili mladi aonekane anakunywa na kinachoniudhi zaidi ni pale anapokuja mmoja akikuomba ukimuwekea kidogo tu anaenda kuwaambia wenzake nao wanakuja kukuomba na ukisha mpa mmoja basi jua kuanzia siku hiyo wewe ni rafiki yake wa karibu sana kila unapokuwa unaenda akikuona tu anakufuata na kukubembeleza umnunulie kinywaji au umuwekee kidogo kwakwel hii tabia imekuwa ikinikwaza sana wanapokuona umeingia wanakuja na kuanza kukusumbua.
Ndo kawaida yao hao madogoNdio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Ndo kawaida yao hawa jamaaNdio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Kwel mkuu ila wengi walishaondoka na makundi hayapovijana wa Musoma hapo wengi wanakwama , miaka ya nyuma 2008-10 walikuwaga na makundi ya kipuuzi ya kupigana, kubaka ,kuvuta bangi na kuuana Mfano mdomo wa furu nk
Asee ukija sasaiv unaweza kimbia aseeHaha Haha, nimeenda mara kadhaa pale nikiwa musoma ila sijawahi katana na iyo adha. Au labda kwakuwa mm nasimamaga kaunta tuu.
Kwahyo nawewe mwanaume mzima unatoka hom unaenda kugongea bia seriousYaani Kuombwa nao Kinywaji tu ndiyo unakimbilia JF Kuwananga hivi je, wangekuomba vingine ingekuwaje? Wewe ni Mtoto wa Kiume kweli au?
Ndo michezo yaoKama bado ni muendaji basi utakutana nayo tu, vijana wa pale kama makuwadi/madalali kwa mademu ukimnunulia kinywaji tu anakuletea demu yyte utakaemuhitaji.
😂😂😂Wanapenda vya bure watafirw@@@!!
Ngoja niende huko nikawakomeshe na umatonya wao.
😂😂😂Wanaume wa mkoani mnakwama wapi!
Hao omba wangekuwa dar Tungeshawala kiboga kitambo!
Hatupendi ujinga!!
Yaani Kuombwa nao Kinywaji tu ndiyo unakimbilia JF Kuwananga hivi je, wangekuomba vingine ingekuwaje? Wewe ni Mtoto wa Kiume kweli au?
Watu kama hawa ndo hao wa kuomba omba ukiwambia ukwel wanajibu ovyoAcha kuandika kwa dharau Mkuu. Siku hizi vijana kuwajibu watu hivi naona mmeona fashion.