JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,092
- 4,717
- Thread starter
- #61
Mpuuze huyo jamaa watu tumesubiri namba E yeye anaongelea gariza m3. Hao ndo walikuwa wanatujazia bure ile uzi wa tuliokuwa tunasubiria namba EHiyo gari ya m3 ukienda safari hata dar hadi moro itabidi uipunzishe mala 3. Lasivyo utawalaumu zimamoto bule..!!
Kagari kanapita barabarani kama katoto kayatima.
Kuna mwehu mmoja wa vichekesho gari kama hiyo anaiita pilipili kichaa...kama ni nyekundu ujue pilipili kichaa iliyoiva.