Hii suti ina nini?

Hii suti ina nini?

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Nimejaribu kuangalia hizi pics nikashindwa kutambua hii suti aliyokuwa amevaa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Balele.
Any suggestion?

02.JPG



03.JPG
 
Mie nilikuwa nazungumzia hicho kidude cheusi hapo. Ina maana ilikuwa haijafuliwa au Mkulu wa Mkoa ali-ignore.
 
Mie nilikuwa nazungumzia hicho kidude cheusi hapo. Ina maana ilikuwa haijafuliwa au Mkulu wa Mkoa ali-ignore.
inawezekana mzee mtu wa masigara moto wa sigara ulidondokea hapo akiwa bwiii lakini akawahi kutoa ndio maana limebaki hilo doa!! halafu mbona koti na sarawili havioani rangi au ndio mambo ya wasukus hayo?😛ound:😛ound::smow:
 
Hilo dowa jeusi lilikua kwenye lenz ya kamera. Angalia picha ya kwanza na ya pili utaona doa liko mahali tofauti kenye koti katika hizo picha mbili.

Kitu nimeona hapo ni jamaa wanakuafa kiofisa na tai shingoni - angalia wanavyo tokwa jasho. Nadhani vazi bora kwa mazingira yetu ni safari suit.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Hilo dowa jeusi lilikua kwenye lenz ya kamera. Angalia picha ya kwanza na ya pili utaona doa liko mahali tofauti kenye koti katika hizo picha mbili.

Kitu nimeona hapo ni jamaa wanakuafa kiofisa na tai shingoni - angalia wanavyo tokwa jasho. Nadhani vazi bora kwa mazingira yetu ni safari suit.

Doa ni la lenzi ya camera au editor wa picha katia chumvi au kakosea. Wala hawatoki jasho kama unavyodhani. Ni recording ya camera pamoja compression ya kupindukia iliyofanywa kwenye picha.
 
Mie nilikuwa nazungumzia hicho kidude cheusi hapo. Ina maana ilikuwa haijafuliwa au Mkulu wa Mkoa ali-ignore.
Inaonekana ni mwanga umeakisika kutoka mahali kama si kamera basi kuna mahali umetokea.Sio doa kwa kuwa linaonekana linahama toka sehemu moja hadi nyingine
 
Back
Top Bottom