Hii Stendi ya Magufuli ya nini sasa?

Hii Stendi ya Magufuli ya nini sasa?

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
579
Reaction score
887
Juzi niliamua kumsindikiza Rafiki yangu Arusha kutoa Mahari tukaenda Kilimanjaro Bus kukata tiketi nashangaa wanasema Mabus yao hayaingii Magufuli Stendi Gari zao zote zinapita Bagamoyo kuna moja tu inapita Chalinze ila nayo haiingii Magufuli Stand wanapakizia kwenye Vituo vya Daladala huko Barabarani.

Nikaamua kwenda BM Coach nao wanasema hivyohivyo,nikaamua kwenda kampuni nyingine ya Dar Express lugha ni hiyohiyo.

Mwaka jana nilipanda Newforce nilikuwa naenda Njombe napo lugha ni hiyohiyo,hii Stendi iko kwa ajili ya nani?
 
Juzi niliamua kumsindikiza Rafiki yangu Arusha kutoa Mahari tukaenda Kilimanjaro Bus kukata tiketi nashangaa wanasema Mabus yao hayaingii Magufuli Stendi Gari zao zote zinapita Bagamoyo kuna moja tu inapita Chalinze ila nayo haiingii Magufuli Stand.

Nikaamua kwenda BM Coach nao wanasema hivyohivyo,nikaamua kwenda kampuni nyingine ya Dar Express lugha ni hiyohiyo.

Mwaka jana nilipanda Newforce nilikuwa naenda Njombe napo lugha ni hiyohiyo,hii Stendi iko kwa ajili ya nani?
Kwa ajili ya kujenga ujinga unaoitwa "regase" kwa maliyemu.😂😂😂
 
Juzi niliamua kumsindikiza Rafiki yangu Arusha kutoa Mahari tukaenda Kilimanjaro Bus kukata tiketi nashangaa wanasema Mabus yao hayaingii Magufuli Stendi Gari zao zote zinapita Bagamoyo kuna moja tu inapita Chalinze ila nayo haiingii Magufuli Stand wanapakizia kwenye Vituo vya Daladala huko Barabarani.

Nikaamua kwenda BM Coach nao wanasema hivyohivyo,nikaamua kwenda kampuni nyingine ya Dar Express lugha ni hiyohiyo.

Mwaka jana nilipanda Newforce nilikuwa naenda Njombe napo lugha ni hiyohiyo,hii Stendi iko kwa ajili ya nani?
Stendi ni ya magari yaliyopanga kupita hapo...
 
Juzi niliamua kumsindikiza Rafiki yangu Arusha kutoa Mahari tukaenda Kilimanjaro Bus kukata tiketi nashangaa wanasema Mabus yao hayaingii Magufuli Stendi Gari zao zote zinapita Bagamoyo kuna moja tu inapita Chalinze ila nayo haiingii Magufuli Stand wanapakizia kwenye Vituo vya Daladala huko Barabarani.

Nikaamua kwenda BM Coach nao wanasema hivyohivyo,nikaamua kwenda kampuni nyingine ya Dar Express lugha ni hiyohiyo.

Mwaka jana nilipanda Newforce nilikuwa naenda Njombe napo lugha ni hiyohiyo,hii Stendi iko kwa ajili ya nani?
Cha msingi walipe ushuru wa stand.
 
Serikali ya sasa inaondeshwa na wafanya biashara wanaodictate na serikali inafuata inachofanya. Sulala hapa ni kuweka sheria lazima basi zote zipite ndani ya stendi ya magufuri kwisha
watanzania ni watu wa kuhukumu sana
jamaa amepita kwenye ofisi za mabasi manne tu anadai standi ya magufuli haitumiki. siyo kweli kabisa zaidi ya 90% ya mabasi yanaitumia ile stand unasemaje ya nn?
wakati mwingine tuwe na evidence
 
watanzania ni watu wa kuhukumu sana
jamaa amepita kwenye ofisi za mabasi manne tu anadai standi ya magufuli haitumiki. siyo kweli kabisa zaidi ya 90% ya mabasi yanaitumia ile stand unasemaje ya nn?
wakati mwingine tuwe na evidence
Usibishe ndugu mabasi mengi yanpaki bara barani kwasababu wanazozijua wenyewe na mamlaka iko kimya na mamlaka ndio imerudisha kuwa na ofisi zao mijini nnje ya eneo husika kama walivyopanga.
 
Yaani wewe lengo lako ilikuwa kumsindikiza rafiki yako kwenda Arusha kutoa mahari ila umeenda kilimanjaro bus wakasema hawaingii ukaacha ukaenda Dar Express wakasema nao hawaingii ukaacha. Sasa wewe lengo lako na starehe yako ni kupanda basi alafu liingie stendi ya Magufuli Kisha liendelee na safari hiyo tu! Unaghairi kusafiri na basi fulani sababu haliingii stendi ya magufuli. Kweli watu wa Legacy shikamooo.
 
Usibishe ndugu mabasi mengi yanpaki bara barani kwasababu wanazozijua wenyewe na mamlaka iko kimya na mamlaka ndio imerudisha kuwa na ofisi zao mijini nnje ya eneo husika kama walivyopanga.
kupaki barabarani ni kitu kingine kuingia magufuli ni kitu kitu kingine. mabasi ya mwanza yanapaki barbarani lakini yanaingia magufuli sasa shida ikowapi?
 
Juzi niliamua kumsindikiza Rafiki yangu Arusha kutoa Mahari tukaenda Kilimanjaro Bus kukata tiketi nashangaa wanasema Mabus yao hayaingii Magufuli Stendi Gari zao zote zinapita Bagamoyo kuna moja tu inapita Chalinze ila nayo haiingii Magufuli Stand wanapakizia kwenye Vituo vya Daladala huko Barabarani.

Nikaamua kwenda BM Coach nao wanasema hivyohivyo,nikaamua kwenda kampuni nyingine ya Dar Express lugha ni hiyohiyo.

Mwaka jana nilipanda Newforce nilikuwa naenda Njombe napo lugha ni hiyohiyo,hii Stendi iko kwa ajili ya nani?
ila si urisafiri shida nini sasa mkuu unataka uone ubora wa magu
 
kupaki barabarani ni kitu kingine kuingia magufuli ni kitu kitu kingine. mabasi ya mwanza yanapaki barbarani lakini yanaingia magufuli sasa shida ikowapi?
Tuzungumzie yasio ingia ndio maana yanapakilia bara barani ndugu, hilo unalisemaje, nini malengoya hiyo stendi?
 
Serikali ya sasa inaondeshwa na wafanya biashara wanaodictate na serikali inafuata inachofanya. Sulala hapa ni kuweka sheria lazima basi zote zipite ndani ya stendi ya magufuri kwisha
Serikali inayoshindwa kusimamia sheria ilizojiwekea ni serikali mufilisi. Hii nchi kwa sasa ipo kwenye auto pilot ndio maana unaweza kuamka asubuhi ukashangaa nyuma ya nyumba yako kinajengwa kituo cha mafuta.

Waliokuwepo dar toka zamani wanajua kabisa stendi zamani ilikuwa kisutu, ikaja mnazi mmoja na baadae ubungo na mabasi yote yalitii. Ukishindwa kusimamia sheria ipo siku hata vituo vya mwendokasi vitageuzwa madanguro ya kufanyia mapenzi wakati wa usiku.
 
Serikali inayoshindwa kusimamia sheria ilizojiwekea ni serikali mufilisi. Hii nchi kwa sasa ipo kwenye auto pilot ndio maana unaweza kuamka asubuhi ukashangaa nyuma ya nyumba yako kinajengwa kituo cha mafuta.

Waliokuwepo dar toka zamani wanajua kabisa stendi zamani ilikuwa kisutu, ikaja mnazi mmoja na baadae ubungo na mabasi yote yalitii. Ukishindwa kusimamia sheria ipo siku hata vituo vya mwendokasi vitageuzwa madanguro ya kufanyia mapenzi wakati wa usiku.
Kweli kabsia kwanini serekali inakuwa kigeu geu? nia na malengo ilikuwa mabasi yote yatumie stendi hiyo naa za nnje zisiwepo, hilo halihitaji hata kutumia nguvu sana kuliona.
 
Juzi niliamua kumsindikiza Rafiki yangu Arusha kutoa Mahari tukaenda Kilimanjaro Bus kukata tiketi nashangaa wanasema Mabus yao hayaingii Magufuli Stendi Gari zao zote zinapita Bagamoyo kuna moja tu inapita Chalinze ila nayo haiingii Magufuli Stand wanapakizia kwenye Vituo vya Daladala huko Barabarani.

Nikaamua kwenda BM Coach nao wanasema hivyohivyo,nikaamua kwenda kampuni nyingine ya Dar Express lugha ni hiyohiyo.

Mwaka jana nilipanda Newforce nilikuwa naenda Njombe napo lugha ni hiyohiyo,hii Stendi iko kwa ajili ya nani?
Hivi sasa kuna watu wana nguvu kuliko serikali. Wenye mabasi walimfokea RC Makalla kama mtoto alipopiga marufuku wenye mabasi kupakiza abiria kwenye stendi zao binafsi.

Mhe rais ktkt hotuba yake, wakati anazindua ujazajj maji ktk bwawa la Nyerere alisema kuna DC alikuwa anaogopa kuwakamata ng'ombe wanaoharibu mazingira ktk mkoa wa Morogoro kwasbb ni wa mkubwa fulani.

Kwahiyo hiyo maeneo ya stendi ya Magufuli yatumike kama kumbi za harusi tu huko Mbezi Mwisho.
 
Serikali ya sasa inaondeshwa na wafanya biashara wanaodictate na serikali inafuata inachofanya. Sulala hapa ni kuweka sheria lazima basi zote zipite ndani ya stendi ya magufuri kwisha
Haina tija kwa wasafiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom