we sambaza taarifa zako tu kwa hacker ndo utakuja kujuta
ushawahi kusikia tcra wamesema utajisajiri kwa app au ushawahi kusikia mitandao ya kijamii inasema hivyo
weka fingerprint wajanja wachukue alama za vidole zako wasajiri laini kwa kutumia alama yako
Japo kwa kufikiri kidogo tu, unadhani Serikali inaweza kuruhu usajili wa namna hiyo!Naomba kujua hii sms inayotumwa kwa watu 10 magroup ya Watsapp
Ukiinstall zen ujisajili Line yako
Nimejisajili ila haijaleta feedback zaid ya kunambia nishare kwa watu 10
Je hii ni ya Kweli au ndo tunaibiwa taarifa zetu na majambawazi?