Hii sio Serikali ya awamu ya sita, bado tuko awamu ya tano

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Hatuna awamu ya sita msidanganye wananchi nyie wanasiasa uchwara, tuna wabunge na madiwani wote zao la awamu ya tano isipokuwa tu tuna Rais aliyerithi kiti cha baada ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano kutafsiriwa na kuona kwamba iwapo aliyekuwepo anaweza patwa na mauti au kwa magonjwa yoyote yale na kushindwa kutimiza majukumu yake kama Raisi basi makamu wake atashika kiti cha Urais.

Hatuna Rais aliyechaguliwa na wananchi tunaye aliyerithi kiti. Na ukitaka kujuwa kuwa hakuchaguliwa ingawa picha yake ilikuwepo kwenye uchaguzi mkuu, jiulize je Philip Mpango amechaguliwa na wananchi kuwa Makamu wa Rais? Sisi tunachojuwa tunaongozwa na aliyerithi kiti cha Rais kwa njia ya katiba basiiiii.
 
Hatuna awamu ya sita msidanganye wananchi nyie wanasiasa uchwara, tuna wabunge na madiwani wote zao la awamu ya tano isipokuwa tu tuna Rais aliyerithi kiti cha baada ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano kutafsiriwa na kuona kwamba iwapo aliyekuwepo anaweza patwa na mauti au kwa magonjwa yoyote yale na kushindwa kutimiza majukumu yake kama Raisi basi makamu wake atashika kiti cha Urais.

Hatuna Rais aliyechaguliwa na wananchi tunaye aliyerithi kiti. Na ukitaka kujuwa kuwa hakuchaguliwa ingawa picha yake ilikuwepo kwenye uchaguzi mkuu, jiulize je Philip Mpango amechaguliwa na wananchi kuwa Makamu wa Rais? Sisi tunachojuwa tunaongozwa na aliyerithi kiti cha Rais kwa njia ya katiba basiiiii.
we mnyarwanda umeyajuwaje ya tanzania?
 
Hatuna awamu ya sita msidanganye wananchi nyie wanasiasa uchwara, tuna wabunge na madiwani wote zao la awamu ya tano isipokuwa tu tuna Rais aliyerithi kiti cha baada ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano kutafsiriwa na kuona kwamba iwapo aliyekuwepo anaweza patwa na mauti au kwa magonjwa yoyote yale na kushindwa kutimiza majukumu yake kama Raisi basi makamu wake atashika kiti cha Urais.

Hatuna Rais aliyechaguliwa na wananchi tunaye aliyerithi kiti. Na ukitaka kujuwa kuwa hakuchaguliwa ingawa picha yake ilikuwepo kwenye uchaguzi mkuu, jiulize je Philip Mpango amechaguliwa na wananchi kuwa Makamu wa Rais? Sisi tunachojuwa tunaongozwa na aliyerithi kiti cha Rais kwa njia ya katiba basiiiii.
Hii ni awamu ya sita; awamu ya 5 ni ya Late JPM na imeshapita. Kwa sasa tuko awamu ya 6 ya Rais Samia Suluhu Hassani
 
Kwani awamu ni nini???......Awamu inahesabiwa kiongozi anapoingia madarakani na sio miaka ya kiongozi kuwepo madarakani.

1. Awamu ya kwanza..Nyerere (miaka 24).

2. Awamu ya pili ...Mwinyi(miaka 10).

3. Awamu ya tatu...Mkapa (miaka 10).

4. Awamu ya nne...Kikwete (miaka 10).

5. Awamu ya tano...Magufuli (miaka 5 na miezi...).

6. Awamu ya 6 Samia (miaka.....)

😂Je upinzani ungeshinda kiti cha urais 2020 huyo rais angekuwa awamu ya ngapi????
 
Hatuna awamu ya sita msidanganye wananchi nyie wanasiasa uchwara, tuna wabunge na madiwani wote zao la awamu ya tano isipokuwa tu tuna Rais aliyerithi kiti cha baada ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano kutafsiriwa na kuona kwamba iwapo aliyekuwepo anaweza patwa na mauti au kwa magonjwa yoyote yale na kushindwa kutimiza majukumu yake kama Raisi basi makamu wake atashika kiti cha Urais.

Hatuna Rais aliyechaguliwa na wananchi tunaye aliyerithi kiti. Na ukitaka kujuwa kuwa hakuchaguliwa ingawa picha yake ilikuwepo kwenye uchaguzi mkuu, jiulize je Philip Mpango amechaguliwa na wananchi kuwa Makamu wa Rais? Sisi tunachojuwa tunaongozwa na aliyerithi kiti cha Rais kwa njia ya katiba basiiiii.
Kama wewe bado uko awamu ya wauaji Baki huku huko usituletee mikosi.
 
Hii ni awamu ya sita,mnateseka bure Sukuma gang.
Wale wanateseka wakiwa "Sukuma Gang", je wewe unaneemeka ukiwa "Gang" gani? Hebu tueleze tujue!

Hakuna awamu ya sita, serikali iliyopo ni ileile ya awamu ya tano, ingawa mabadiliko yamekuwepo ya wahusika, toka 'ukichaa chaa' mwingi hadi kuwa na 'ulaghai laghai'na ubabaishaji mwingi.
 
Wale wanateseka wakiwa "Sukuma Gang", je wewe unaneemeka ukiwa "Gang" gani? Hebu tueleze tujue!

Hakuna awamu ya sita, serikali iliyopo ni ileile ya awamu ya tano, ingawa mabadiliko yamekuwepo ya wahusika, toka 'ukichaa chaa' mwingi hadi kuwa na 'ulaghai laghai'na ubabaishaji mwingi.
Kwani wewe tafsiri ya awamu kwako ni nini?
 
Hatuna awamu ya sita msidanganye wananchi nyie wanasiasa uchwara, tuna wabunge na madiwani wote zao la awamu ya tano isipokuwa tu tuna Rais aliyerithi kiti cha baada ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano kutafsiriwa na kuona kwamba iwapo aliyekuwepo anaweza patwa na mauti au kwa magonjwa yoyote yale na kushindwa kutimiza majukumu yake kama Raisi basi makamu wake atashika kiti cha Urais.

Hatuna Rais aliyechaguliwa na wananchi tunaye aliyerithi kiti. Na ukitaka kujuwa kuwa hakuchaguliwa ingawa picha yake ilikuwepo kwenye uchaguzi mkuu, jiulize je Philip Mpango amechaguliwa na wananchi kuwa Makamu wa Rais? Sisi tunachojuwa tunaongozwa na aliyerithi kiti cha Rais kwa njia ya katiba basiiiii.
Kikatiba hii ni awamu ya tano.

Ila kwa walamba asali hii ni awamu ya 6
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom