Hii sio sawa kabisa

xrotcivx

Senior Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
106
Reaction score
90
Nimekaa zangu kwa mamantilie nmeagiza ugali dagaa nakula ghafla namuona pembeni mtoto wa mamantilie anakula bure..tena wali na nyama,Yaani nimeshikwa na hasira hapa na hiki chakula silipii..
 
Kuna ulazima wa serikali kuongeza bei za viroba bila shaka
 
Kuna ulazima wa serikali kuongeza bei za viroba bila shaka

mkuu hoja ni kwamba ipo haja ya serikali kutoa ruzuku kwa mamantilie wote,chakula kishuke bei sio viroba
 
Hahahahahahaaaaaaaa! Hata sijui watu wengine wanawaza nini aisee
 
Nimekaa zangu kwa mamantilie nmeagiza ugali dagaa nakula ghafla namuona pembeni mtoto wa mamantilie anakula bure..tena wali na nyama,Yaani nimeshikwa na hasira hapa na hiki chakula silipii..
Fumbo lako gumu kulielewa.Mtoto wa mama ntilie ni nani? Pengine alishalipa bila wewe kumwona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…