Kuna ulazima wa serikali kuongeza bei za viroba bila shaka
Kuna ulazima wa serikali kuongeza bei za viroba bila shaka
Hahahahahahaaaaaaaa! Hata sijui watu wengine wanawaza nini aisee
aa jaman c 2takufa sasa ss na bard ya mbyKuna ulazima wa serikali kuongeza bei za viroba bila shaka
Fumbo lako gumu kulielewa.Mtoto wa mama ntilie ni nani? Pengine alishalipa bila wewe kumwona.Nimekaa zangu kwa mamantilie nmeagiza ugali dagaa nakula ghafla namuona pembeni mtoto wa mamantilie anakula bure..tena wali na nyama,Yaani nimeshikwa na hasira hapa na hiki chakula silipii..
Na Mimi maza angekua mama ntilie ningekula bureFumbo lako gumu kulielewa.Mtoto wa mama ntilie ni nani? Pengine alishalipa bila wewe kumwona.