Hii sinema feki ya Ali Kiba

Hii sinema feki ya Ali Kiba

we mwanamke mbona unatomboka sana naona leo unaniquote sana huyo ndugu yake ni mwanaume anaitwa Inno kama sikosei wewe unaitwa cute b or mayb udeclare humu jamvini kua wewe ni PUNGA shwaiiin!!!

Nyoooooo.... kwani wew nani nisi ku quote? Tuliza mshono msimu wa kristmas umepita...
Nimesema mimi ni ndugu yake na siku ya tukio nilikuwepo hutaki unaacha...
Afu acha umbea ata kama alikuwa jambazi mmoja wew kinakuuma nini? Au wewe ndo miongoni mwa hao majambazi??? Kwa hiyo unajua idadi mlienda wangapi?
 
Ukiachana na hayo mambo ya bongo movie,
Me nazisubiri kwa hamu hizi:

😎Diamond ft P square
😎Diamond ft mafikizolo
😎 Diamond ft Fally Ipupa
😎Diamond ft Mmarekani
😁Ally Kibabu ft Chriss Brown
😂Video ya chechechua cheche!
 
Majambazi 20 na bank kwenye mabilioni ya pesa tena cash si wangekuwa wanaenda majambazi elfu kumi
 
Nyoooooo.... kwani wew nani nisi ku quote? Tuliza mshono msimu wa kristmas umepita...
Nimesema mimi ni ndugu yake na siku ya tukio nilikuwepo hutaki unaacha...
Afu acha umbea ata kama alikuwa jambazi mmoja wew kinakuuma nini? Au wewe ndo miongoni mwa hao majambazi??? Kwa hiyo unajua idadi mlienda wangapi?

Acha ushamba we dada hilo jina kama majina mengine usijariri kama hujui uliza.

Back to the topic we si umesema ndio huyo ndugu yake aliehojiwa? Nilisikiliza mahojiano hayo kwenye amplifier ndio maana nikasema wengine wanasema sijui 20 wengine 8 usipende kudandia treni kwa mbele utapewa mimba humu.
 
Acha ushamba we dada hilo jina kama majina mengine usijariri kama hujui uliza.

Back to the topic we si umesema ndio huyo ndugu yake aliehojiwa? Nilisikiliza mahojiano hayo kwenye amplifier ndio maana nikasema wengine wanasema sijui 20 wengine 8 usipende kudandia treni kwa mbele utapewa mimba humu.

Hahahaaaa aya mkuu wangu maana unatokwa povuuuuu......
 
Okay tuassume kwamba ni kick....ila la kiba tu ndo limeonekana jamani?

Kunya anye bata tu....
 
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii). Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi). Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?)

Ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick ki namna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto wa miaka miwili humdanganyi. Kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota..

afu kiba kick zake zinawahi kubuma mkuu
 
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii). Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi). Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?)

Ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick ki namna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto wa miaka miwili humdanganyi. Kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota..

Sawa kaka mimi nimekuelewa
 
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii). Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi). Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?)

Ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick ki namna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto wa miaka miwili humdanganyi. Kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota..

Ushamba unakusumbua bora kukaa kimya kuliko kuandika utumbo kama huu ishu yenyewe huijui unashoboka tuu kuongea mambo yako ya ki chochezi peleka fb hizi pumba zako zisizokuwa na mbele wala nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom